fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Wanajamvi wenzangu,
Kwani mnaonaje tukaomba tena siku tatu kwa ajili ya Uchaguzi ili Mungu atupatie kiongozi sahihi kama Rais alivyotuambia tuombe siku tatu kwa ajili yakuzuia COVID-19 na likafanikiwa.
Kumbe inawezekena. Basi hata kiongozi mzuri anatoka kwa Mungu kama tutamshirikisha, ili tupate kiongozi sahihi basi Tumshirikishe yeye alie tusikiliza ile kipindi cha majanga.
Mungu ibariki nchi yetu.
Kwani mnaonaje tukaomba tena siku tatu kwa ajili ya Uchaguzi ili Mungu atupatie kiongozi sahihi kama Rais alivyotuambia tuombe siku tatu kwa ajili yakuzuia COVID-19 na likafanikiwa.
Kumbe inawezekena. Basi hata kiongozi mzuri anatoka kwa Mungu kama tutamshirikisha, ili tupate kiongozi sahihi basi Tumshirikishe yeye alie tusikiliza ile kipindi cha majanga.
Mungu ibariki nchi yetu.