Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,443
- 113,452
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.
Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".
Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.
Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.
Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.
Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.
Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisiasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!.
Kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujiunga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama this time wameamua kwa kauli moja kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM tuu, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.
Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao sote tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasse
Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taasisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangazwa hivyo hizo resolutions zote ni halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolutions kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi tuu wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.
Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.
Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.
Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namuomba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.
Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.
Nawatakia Jumatatu njema.
Paskali
Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as a consolation prize na kuwapooza sympathisers wake watakao mpigia Tundu Lissu, compassionate and sympathetic votes?.
Hoja hii imeanzaje?
Saa hizi ni usiku wa manane, usingizi umekata ghafla nikaanza kuwaza uchaguzi na haswa kitu cha ajabu sana nilichokisikia leo kwenye mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF, pale katika ukumbi Kimataifa wa mikutano, JNICC, hivyo nikaamua kuendelea kuandika zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa".
Declaration of Interest
Naomba kuanza na declaration of Interest
Mimi Pascal Mayalla, japo ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, mimi sio kada fagilia, kada shangilia au kada piga makofi, mimi ni kada Mzalendo ambaye ninatanguliza mbele maslahi ya taifa. Hivyo ukiamua usinisome au usizingatie hoja zangu kwa vile sasa na mimi ni kada wa CCM, rukhsa kuishia hapa, nisije kukukerehesha nikakuharibia bure siku yako ya leo, na kwavile leo ni Jumatatu, ukiianza vibaya, utakuwa umeharibu wiki yako yote.
Kwa vile mimi ni muumini wa ukweli, na uwazi na ninaamini ukweli na uwazi ndio utaliponya taifa, sitaacha kuusema ukweli bayana ili kulisaidia kuliponya taifa langu, Pasco Mayalla licha ya sasa kuwa ni kada wa CCM, lakini Pasco bado ni yule yule juzi jana na leo, na hoja zake ni zile zile za kwa Maslahi mapana ya taifa.
Mkutano wa TPSF
Jana nimehudhuria mkutano wa Taasisi ya Sekta Binafsi, TPSF ambayo ni Taasisi Apex, yaani Taasisi Mwamvuli, an Umbrella Organisation, chini ya mwamvuli huo wa TPSF, kuna taasisi nyingine nyingi zinazo deal na sekta binafsi. Taasisi nyingine zote zilizo chini yake, jana zimemshukuru rais Magufuli kwa mambo makubwa, mazuri na ya kuonekanika aliyo yapanga, akayasema na kuyatenda kwa kuyafanya na kuyatekeleza, hivyo, wakuu wa taasisi zilizo chini ya mwamvuli wa TPSF, mmoja baada ya mwingine, jana walipanda jukaani na kunadi mazuri ya Magufuli kwenye tasisi zao, na kuahidi kuwa wametumwa na wanachama wao, kumpigia kura zote rais Magufuli wamemuhakikishia kura zote wanachama wote walio chini ya mwamvuli wa TPSF zitakwenda kwa JPM na wagombea wa CCM pekee, kwasababu aliahidi kwa kusema na sasa ametenda.
Hivyo kama ni kweli, hao wanachama wa Taasisi zote zilizo chini ya TPSF wameamua unanimously kumpigia kura JPM na CCM, then, kiukweli kabisa, rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, JPM, katika uchaguzi huu, yeye na CCM Itashinda kwa ushindi wa kishindo kikubwa cha ajabu kabisa kuwahi kutokea Tanzania, tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa ile 1992!.
Kwasababu nimeshuhudia chaguzi zote 5 za vyama vingi toka ule wa 1995, 2000, 2005, 2010, 2015 na sasa uchaguzi huu wa 2020 ni wa 6!, huko nyuma haijapata kutokea, hii ndio kwa mara ya kwanza, sekta binafsi nayo inatoa msimamo wa kisiasa, na kuzungumza kwa kauli moja unanimously kuunga mkono mgombea mmoja wa chama kimoja tuu cha siasa!.
Kwasababu hizo taasisi, sio taasisi za kisiasa na zinategemewa wanachama wake wako huru kujiunga na vyama vyovyote vya siasa na wako huru kuchagua viongozi wao wowote wanaowapenda kutoka vyama vyovyote, hivyo kama this time wameamua kwa kauli moja kutangaza hadharani kumchagua mgombea mmoja, JPM na kuichagua CCM tuu, huu sasa ni uamuzi wa kisiasa, then there is no way Tundu Lissu anaweza kupata kura zozote za maana!.
Hii ya TPSF, ni ukiondoa watumishi wa serikali ambao sote tunajua watamchagua nani, then TPSF encompasse
Hapo ni ukijumlisha Wafanyabiashara ndogondogo wote, wasiosajiliwa, wamachinga, mama lishe, wenye bodaboda wote, madereva, makundi ya wanawake, vijana na wenye ulemavu wote ambao kwenye list ya TPSF hawamo, ila jana pale ukumbini walikuwepo na wameahidi kura zote kwa JPM na CCM, hivyo kama hii ni kweli, then its as if rais Magufuli na CCM anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote toka makundi yote ya jamii, swali la kujiuliza ni kama ndio hivyo, nani atachagua upinzani?.
Confederation of Tanzania Industries (CTI) Central Zone Sunflower Oil Processors Association (CEZOSOPA) Iringa Edible Oil Processors Company Ltd Kubane Food Processors, Kilimanjaro Leather Association of Tanzania (LAT) Musoma Wood Works Enterprises Peramiho Association of Shoe Maker (PASHO) Steel Manufacturing Association of Tanzania, DSM Tanzania Industrial Fishing & Processors Association (TIFPA) Tanzania Meat Processors Alliance (TAMEPA) Tanzania Pharmaceutical Manufacturers Association Tanzania Plastic Manufacturing Association Tanzania Sugar Producers’ Association The Cashew nut Processors Association Ltd Chama cha Wasafirisha Samaki Barafu Hachaje Product Saohill Forest Industries Association (SAFIA) Green Star J.B. Makers and Plumbing Tanzania Chamber of Minerals & Energy Tanzania Forestry Industries Association (TAFIA) Association of Tanzania Insurers (ATI), DSM Bukoba SACCOs Ltd Bukoba Women Empowerment Association SACCOS Community Banks Associations (CBA), DSM Matumaini Mapya SACCOs Micro-Enterprise Development and Finance Opportunity, Mwanza Tanzania Bankers Association (TBA) Tanzania Insurance Brokers Association Tanzania Stock Exchange Brokers Association Tanzania VICOBA Sustainable Development Agency (TVSDA) Ufumwa SACCOs Ltd, Mwanza WADOKI SACCOs Ltd, Mwanza Southern Highlands Income Development Agency Ltd, Mbeya Association of Tanzania Employers (ATE), DSM Tanzania Economic Management and Consultancy Company Ltd Science Technology and Innovation Policy Research and Organization (STIPRO) Tanzania Marketing & Communication (T-MARC) Company Ltd Huruma Peace Mercy Foundation, Mwanza IMARIKA Consumers Co-operative Society, DSM Initiative for Youth, Arusha Kilumba Association, Moshi Muwwe Women Youth Poverty Reduction Organisation, Musoma Tanzania Association of Consultants (TACO), DSM TCCIA – KIGOMA World Dafi Association (WDA), Mwanza HIV/AIDS Business Coalition of Tanzania (ABCT) Kilimanjaro AIDS Control Association Kilimanjaro Association for Community Development Mtwara Sports Academy (MSA) Mwanza Network of People Living With HIV/AIDS ABITAT(Alliance of Businessmen and Industrialists of Tanzania and Turkey) GS1 Tanzania National Limited SIDO, Mfaume Road Upanga Tanzania Association of Accountants (TAA), DSM Tanzania Network For Fair Trade (TANFAT) Tanzania Security Industries Association (TSIA) International Business and trade Tanzania institute (IBUTTU) Association of Private Health Facilities in Tanzania (APHFTA) Human Rights National Association of Educators for world peace Tanzania Motor Traders Associations Media Owners Association of Tanzania (MOAT) Tanzania Capital Boosting Association (TCBA) TAMONGSCO TANZANIA INFORMAL MICROFINANCE ASS. OF PRACTITIONERS Tanzania Council For Educational Leadership, Administration and Management(TACELAM
Mwanza City Butcheries Association (MWACIBA) Tanzania Association of Pharmaceuticals Industry (TAPI) Umoja wa Wafanyabiashara Wadogo wa Mbao, Iringa DSM Merchants Chambers Tanzania Association of Exporters (TANEXA), DSM Disabled Entrepreneurs Business Development, DSM TCCIA – ARUSHA TCCIA – DAR ES SALAAM (Regional Chamber) TCCIA – DODOMA TCCIA – KAGERA TCCIA – KILIMANJARO TCCIA – MWANZA TCCIA – PWANI TCCIA – SINGIDA TCCIA – TANGA VIBINDO Society Maendeleo ya Wakulima (MAYAWA) Oceanlink Shipping Services TCCIA HQ-DAR ES SALAAM TCCIA-LINDI TCCIA-MTWARA TCCIA-RUKWA TCCIA-SHINYANGA TCCIA-TABORA TCCIA – MANYARA American Chamber of Commerce ZNCCIA – Zanzibar
TCCIA – IRINGA TCCIA – RUVUMA TCCIA – MBEYA TCCIA – MARA The Sisal Association of Tanzania African Women in Mining Network Tanzania (AFWIMNTZ) Equal Opportunity for All Trust – Tanzania, DSM Federation of Association of Women Entrepreneurs (FAWETA) in Tanzania, DSM Imani Women Development, DSM Kawe Women Economic Trust, DSM Kilimanjaro Women Information Exchange and Consultancy organization Mwanza Women Development Association (MWDA) Tanzania Association of Women Entrepreneurs (TAWE), Mwanza Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) Tanzania Women for Self Initiative, Tanga Tanzania Women Miners Association Ubiri Women Group Wanawake na Maendeleo Foundation (WAMA) Women Empowerment Association (BUWEA), Bukoba Hand Products of Tanzania (HOT), DSM TanzaniaHandcraft Association (TANCRAFT) Tanzania Food Processors Association (TAFOPA) Tanzania Saccos for Women Entreprenuers (TASWE) Tanzania Women Handcraft and Textile Association (TAWOHATE) Mineral Value Addition Association (MIVA)
Advent Construction Ltd Tanzania Civil Engineers Constructors Association (TACECA) Association of Citizen Contractors Tanzania (ACCT) Contractors Association of Tanzania (CATA) City Engineering Company Limited St. Joseph College of Engineering and Technology Association of Consulting Engineers Tanzania (ACET), DSM Institution of Engineers Tanzania (IET) Skol building contractors ltd Tanzania Freight Forwarders Association (TAFFA) Tanzania Maritime Foundation Tanzania Truck Owners Association (TATOA) Tanzania Shiptally Association (TASHITA) Automobile Association Of Tanzania (AAT) Shipping and Freight Consultants Association Tanzania Shipping Agents Association (TASAA) Tanzania Bus Owners Association (TABOA)
Oilers Organisation of Tanzania (OILOT), DSM Oil and Gas Association of Tanzania, DSM Tanzania Association of Oil Marketing Company (TAOMAC) Tanzania Renewable Energy Association (TAREA) Tanzania Wind Energy Association (TAWEA) Association of Tanzania Oil & Gas Service Providers (ATOGS) Airtel Tanzania limited Amir Hamza (T) Ltd. Asean International Tz. Ltd Bank M Tanzania Limited Bank of Africa (BOA) Tanzania Ltd BIDCO Oil and Soap BONITE BOTTLERS LIMITED British American Tobacco (BAT) Distributors Tanzania Ltd CEO Roundtable Tanzania Limited Chemi & Cotex Industries Ltd Coastal Steel Industries Limited Coca Cola Kwanza Limited Commercial Bank of Africa Computer Connections Limited CRDB Bank PLC CXC Africa Darworth limited DSM Community Bank Equity Bank Tanzania Limited Ernst & young FastJet Airlines Ltd Gapco Tanzania Limited General Electric Tanzania General Petroleum Ltd Helvetic solar IMMMA Advocates Independent Power Tz. Ltd Integrated Property Investment Javan Investment Company Joint Enhance Company JTI GLOBAL LEAF TANZANIA Kamal Group of Companies Kenya Commercial Bank (T) Ltd Kioo Ltd M.M. Integrated Steel Mills Mansoor Industries Ltd Mara Ore Industry Company (MOIC) Ltd. MaxcomAfrica Ltd MIC Tanzania Limited (Tigo) M-KOPA SOLAR TANZANIA LIMITED Mohamed Enterprises Limited Mount Meru Millers MULTI CABLE LIMITED Mwekezaji Makini Company Ltd. National Investments Company Ltd Nimeta Consult ( T) Ltd Njake Hotels & Lodges Ltd Norplan Tanzania Olam Tanzania Limited ORYX Gas Tz Ltd Oyo Real Estate Company Ltd Pangaea Security Precision Air Services Ltd PUMA Tanzania Ltd REX Attorneys ROLDO Limited. Said A. Mwema Advocates Sao Hill Industries Ltd SBC Tanzania Limited (PEPSI) Serengeti Advisers Ltd SERENGETI BREWERIES LIMITED (SBL) Stanbic Bank (T) Ltd Stanlib Tanzania Ltd Swissport (T) Ltd Tanzania Agriculture Export Process Zone Ltd Tanzania Breweries Ltd Tanzania International University Techno Brain (T) Ltd The Impala Hotel Ltd Total Tanzania Limited Trace Hills Company Ltd Udzungwa Falls Dipa Lodge Ltd Ultimate Security Limited Viasat 1 Tanzania Ltd VODACOM Wentworth Gas Ltd WIA Group Ltd PMM Estates (2001) Ltd Mohammed Enterprses Tanzania Limited CMA CGM (TANZANIA) LTD Le Grand Casino Davis & Shirtliff (T) Ltd SAID SALIM BAKHRESA & CO. LTD IPP Limited TANGA CEMENT AKIBA COMMERCIAL BANK LTD MUKWANO INDUSTRIES (T) LTD NMB Bank PLC SPROXIL TANZANIA LTD BAJUTA INTERNATIONAL (T) LTD HINAMY ENTERTAINMENT LTD LESHEYA INVESTMENT CO. LTD EXPORT TRADING CO. LTD Kirobe Investment Limited
Kwa vile kabla sijajiunga siasa, nilistaafu kwanza uandishi wa habari, hivyo sikuweza kufuatilia ni lini hizi taasisi zote chini ya TPSF zilifanya AGM zake na kupitisha hizo resolutions kumsupport JPM na CCM, na kwa vile AGM zote ni open conferences zinatakiwa kutangazwa, kama kuna yoyote aliyesikia matangazo ya AGM, za taasisi hizo zikiitishwa, atujuze, unless AGM ziliitishwa na media zilialikwa ila kutokana na media kuwa too busy na politics, resolutions za AGM hizi hazikutangazwa hivyo hizo resolutions zote ni halali na ziko valid ila mimi ndio nikazisikia hiyo jana, lakini ikitokea, hakuna vikao vyovyote rasmi vilivyoitishwa na taasisi hizo, kupitisha hizo political resolutions kwenye taasisi zao, na badala yake ni vingozi tuu wa Taasisi hizo, wamefikia maamuzi ya kuwaamulia wanachama wao wamchague nani na chama gani na kuyatangaza maamuzi hayo hadharani kuwa wote wameamua kwa kauli moja, bila AGM, bila, bila kushirikishwa, then this leaves much to be desired!, na kwavile kura ni siri, then lets wait for JPM na CCM landslide victory, or surprises iwapo hawakushirikishwa!.
Sasa kwa vile kura zote zimeahidiwa kwa JPM na CCM only, lakini kwenye mikutano ya Tundu Lissu pia inajaza watu wenye too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda, bila kuonyesha atashinda kwa sera zipi, hoja zipi na kura zipi toka makundi gani ya kijamii, lakini kwavile na kiukweli kabisa kwa kilichomtokea Tundu Lissu kushambuliwa na risasi 16 za moto na akapona na sasa ni mgombea, huu ni muujiza mkubwa wa Mwenyezi Mungu na usikute ule umati wa watu katika mikutano ya Tundu Lissu ni umati wa kushuhudia tuu muujiza wa kupona kwa Tundu Lissu na sio umati wa wapiga kura, na akitokea kupata kura, then Tundu Lissu atapata kura chache za sympathetic na compassionate votes kwa maswahibu yaliyomfika.
Hivyo nashauri for the sake of national unity, kwasababu rais Magufuli anakwenda kukomba kura zote za Watanzania wote, haku kuna watu wana too great expectations na Tundu Lissu, mimi kama Mtanzania Mzalendo, katika wiki hii ya mwisho ya kampeni za uchaguzi, namuomba mgombea wetu na Mwenyekiti wa chama changu CCM, JPM, atangaze na ku ahidi wafuasi wa Tundu Lissu kuwa baada ya uchaguzi, atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa Bunge la JMT katika zile nafasi zake kumi ya uteuzi, ili Tundu Lissu angalau aweze kurejea Bungeni kuendelea kulichangamsha Bunge letu lijalo and at the same time, kuwafariji wale minority wote waliopanga kumpigia kura za sympathetic votes na compassionate votes, na hivyo to heal wafuasi na washabiki wake?.
Jee wenzangu mnalionaje hili?. si ni jambo jema?. Tena kama hoja za TPSF ni kweli, hii maana yake, Bunge lijalo litakuwa ni Bunge la CCM dominated house, hivyo sio tuu namuombea uteuzi Tundu Lissu pekee, bali namuomba JPM pia amteue, hata Zitto Kabwe, na Freeman Mbowe kuwa wabunge, amteue Benard Membe kuwa balozi, Maalim Seif yeye hana wasiwasi ni atakuwa Makamo kule Zanzibar hivyo wafuasi wake watatulia!.
Upendo, Amani, Utulivu na National Unity ni components muhimu sana kumsaidia Magufuli kwenye mitano tena yake.
Nawatakia Jumatatu njema.
Paskali