Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Kama kutakua na mabadiliko yoyote ambayo ni "positive" kwa upande wa TOZO basi "credit" itaenda kwa CHADEMA kwakua wao ndiyo wamekua mstari wa mbele kupinga hili jini Tozo. Haijawahi kutokea mwana CCM akapinga Tozo hadharani zaidi ya kusapoti.
Tunaweka tu records sawa, Mwenyekiti wa CCM Taifa anamwagiza Rais wa Tanzania kuangalia kilio cha wananchi tozo!
Tunaweka tu records sawa, Mwenyekiti wa CCM Taifa anamwagiza Rais wa Tanzania kuangalia kilio cha wananchi tozo!