JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Hata upige kelele Gani, Hawa wezi tumewashika pabaya na Hawachomoki. Walichoenda kupima sicho walichokijaza kwenye Containers na tumechunguza na kujiridhisha walikuwa wanatuibia full stop
..hakuna haja ya kubishana kwenye vipimo.
..suluhisho ni Tz kuuza mchanga wenye dhahabu.
..tutapata mapato mengi tu, na acacia tuwape
kile kidogo walichokuwa wakiripoti.
..hakuna haja makonteina yamejaa dhahabu yanaachwa yapigwe na vumbi bandarini, huku wagonjwa wanakosa dawa hospitali.
..Mchang wa dhahabu uuzwe bila kuchelewa.