Kama TFF wasingeibania Zanzibar,Tanzania pengine ingelikuwa na wawakilishi wawili kule Misri

battawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2014
2,672
2,539
Hapa naanza kuona machungu ya kila siku Tanzania kufungwa sisi tuu?, tumegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu.
Lakini kwa upande mwingine nachelea kusema ni aina fulani ya ROHO MBAYA WALIYONAYO NDUGU ZETU WA TANGANYIKA DHIDI YA ZANZIBAR(yaani TFF dhidi ya ZFA) pale walipoomba kutambuliwa na FIFA na CAF na kutakiwa wapate saini ya TFF KAMA MDHAMINI WAO kwa vile wao ndio wanaosimama kwa jina la Tanzania (sovereign).

Hivyo hivyo siku ile timu ya Zanzibar ya vijana(Zanzibar Herro) ilipocheza na Bara na kuifunga, wenzetu Bara wakatununia, na siku tulipoingia fainali na Kenya wakahiari kutupikia majungu ili kenya ishinde kulikoni sisi ndugu zao.

Hapa naona jambo la Muungano halikuleta udugu wala mapenzi baina yetu,na ndio maana kila siku wenzetu Bara hujivutia maslahi kwao tuu na hata kusababisha Miradi ya Kiuchumi ya Zanzibar kama Bandari ya Mpiga duri,Uwanja wa Ndege wa Unguja,na Barabara ta wete mkoani ambazo tayari tumesha pata ufadhili, wao watie saini kama mdhami tu kwa vle wao ndio wenye (sovereign) wametukatalia eti wakidai kuwa Bandari ya Mpiga duri itauwa Bandari ya Dar.

HIVI KUMBE ZANZIBAR SI TANZANIA !?
Ndio maana jana nimeona Vijana wa kizanzibari wakiishangilia SENEGAL DHIDI YA TAIFA STAR
Nlishangaa lakini ndio ukweli wenyewe ,unyama unyama tuu, ila hali si nzuri Muungano wetu Uko mahskani
TUJADILI
 
mkuu hata wangepeleka timu, ni kwamba tusingekua na timu mbili, hio ya zenji ingewakilisha nchi yao ya zenji na sio Tanganyika😤😱😱
 
wametukatalia eti wakidai kuwa Bandari ya Mpiga duri itauwa Bandari ya Dar
Tusi linataka kunitoka lakini najizuia.

Haya matatizo huletwa na wasaliti wa Zanzibar. Rais wa Zanzibar hana mamlaka na hata Zanzibar yenyewe.

Zanzibar ifanywe manispaa tujue moja, tusipoteze pesa kumlipa rais ambae hana kazi zaid ya kutuuza!
 
Tusi linataka kunitoka lakini najizuia.

Haya matatizo huletwa na wasaliti wa Zanzibar. Rais wa Zanzibar hana mamlaka na hata Zanzibar yenyewe.

Zanzibar ifanywe manispaa tujue moja, tusipoteze pesa kumlipa rais ambae hana kazi zaid ya kutuuza!
Zanzibar ni jiji!
 
Zanzibar ni jiji!
Watutangazie kuwa Rais wa Zanzibar hamna tena. Pesa zinapotea bure bure, analipwa rais kwa kazi gani? yeye na mawaziri wanalipwa kwa kazi gani? baraza la wakilishi zanzibar linakazi gani? hizi pesa bure bure zinapotea kulipa watu ambao hawana mamlaka kwenye "nchi" yao.

Unaambiwa usilete maendeleo kwako kwa sababu kwangu kutaharibika, afu unasema sawa. Ukintizama mie naleta maendeleo kwangu.
 
Hiyo timu yenu wazanzibari haituhusu. Sisi tuko huru kushangilia timu yoyote kwakuwa sisi hatuna timu huko
 
kama hujui kitu ni heri unyamaze sababu zinazowanyima Zanzibar nafasi ya uwakilishi haziwahusu TFF kiufupi Zanzibar ni nchi iliyo ndani ya Tanzania ila nje ya Tanzania haitambuliki kama nchi ni mkoa kama ulivyo mkoa wa pwani au morogoro
 
Hapa naanza kuona machungu ya kila siku Tanzania kufungwa sisi tuu?, tumegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu.
Lakini kwa upande mwingine nachelea kusema ni aina fulani ya ROHO MBAYA WALIYONAYO NDUGU ZETU WA TANGANYIKA DHIDI YA ZANZIBAR(yaani TFF dhidi ya ZFA) pale walipoomba kutambuliwa na FIFA na CAF na kutakiwa wapate saini ya TFF KAMA MDHAMINI WAO kwa vile wao ndio wanaosimama kwa jina la Tanzania (sovereign).

Hivyo hivyo siku ile timu ya Zanzibar ya vijana(Zanzibar Herro) ilipocheza na Bara na kuifunga, wenzetu Bara wakatununia, na siku tulipoingia fainali na Kenya wakahiari kutupikia majungu ili kenya ishinde kulikoni sisi ndugu zao.

Hapa naona jambo la Muungano halikuleta udugu wala mapenzi baina yetu,na ndio maana kila siku wenzetu Bara hujivutia maslahi kwao tuu na hata kusababisha Miradi ya Kiuchumi ya Zanzibar kama Bandari ya Mpiga duri,Uwanja wa Ndege wa Unguja,na Barabara ta wete mkoani ambazo tayari tumesha pata ufadhili, wao watie saini kama mdhami tu kwa vle wao ndio wenye (sovereign) wametukatalia eti wakidai kuwa Bandari ya Mpiga duri itauwa Bandari ya Dar.

HIVI KUMBE ZANZIBAR SI TANZANIA !?
Ndio maana jana nimeona Vijana wa kizanzibari wakiishangilia SENEGAL DHIDI YA TAIFA STAR
Nlishangaa lakini ndio ukweli wenyewe ,unyama unyama tuu, ila hali si nzuri Muungano wetu Uko mahskani
TUJADILI
Nyie wazanzibar hamuwezi kufuzu AFCON. .msijipe moyo na Challenge cup..Wakenya na TANGANYIKA walichezesha local players watupu
 
Hapa naanza kuona machungu ya kila siku Tanzania kufungwa sisi tuu?, tumegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu.
Lakini kwa upande mwingine nachelea kusema ni aina fulani ya ROHO MBAYA WALIYONAYO NDUGU ZETU WA TANGANYIKA DHIDI YA ZANZIBAR(yaani TFF dhidi ya ZFA) pale walipoomba kutambuliwa na FIFA na CAF na kutakiwa wapate saini ya TFF KAMA MDHAMINI WAO kwa vile wao ndio wanaosimama kwa jina la Tanzania (sovereign).

Hivyo hivyo siku ile timu ya Zanzibar ya vijana(Zanzibar Herro) ilipocheza na Bara na kuifunga, wenzetu Bara wakatununia, na siku tulipoingia fainali na Kenya wakahiari kutupikia majungu ili kenya ishinde kulikoni sisi ndugu zao.

Hapa naona jambo la Muungano halikuleta udugu wala mapenzi baina yetu,na ndio maana kila siku wenzetu Bara hujivutia maslahi kwao tuu na hata kusababisha Miradi ya Kiuchumi ya Zanzibar kama Bandari ya Mpiga duri,Uwanja wa Ndege wa Unguja,na Barabara ta wete mkoani ambazo tayari tumesha pata ufadhili, wao watie saini kama mdhami tu kwa vle wao ndio wenye (sovereign) wametukatalia eti wakidai kuwa Bandari ya Mpiga duri itauwa Bandari ya Dar.

HIVI KUMBE ZANZIBAR SI TANZANIA !?
Ndio maana jana nimeona Vijana wa kizanzibari wakiishangilia SENEGAL DHIDI YA TAIFA STAR
Nlishangaa lakini ndio ukweli wenyewe ,unyama unyama tuu, ila hali si nzuri Muungano wetu Uko mahskani
TUJADILI
Kwenye hatua ya club huwa mnafika wapi?
 
Back
Top Bottom