Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 30,875
- 30,595
Binafsi pepa ya hesabu O -level mwaka 1991 pale Ifunda Tech, nilifanya past paper kadhaa nikakutana na maswali manne yapo kama nilivyofanya jana yake usiku TENA SECTION B YA KUFANYA MASWALI MATANO OUT OF SABA AU SITA KAMA SIJAKOSEA.... nikaweka kibanda cha nambaMwalimu makini kwa asili ya mtiihani yetu nirahisi kuotea mtihani. Hata mtoto anayejitambua, akifanya paper 10 tu zilizopita akazielewa vizuri anafaulu mtihani kwa A. Maswali mengi yanajirudia. pia hizi shule toka kuanza wanachukua watoto wenye ufaulu mkubwa na wenye ushindani lazima wafanye vizuri. Na walimu wao wanalipwa vizuri wanatumia muda mwingi kusoma. Hakuna maajabu , shule zetu za serikali walimu wamechoka wamejaa stress, hakuna muda wa kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi kwa ukaribu. Pia wanafunzi wananidhamu huko hakuna suspension,ukisumbua unafukuzwa. Mazoezi mengi yanasaidia sana kufaulu, muhimu mwanafunzi afanye kwa kuelewa atafaulu hataawe wa kata.
Sishangai hao wa St. FRANCIS