Tanzania tunachezewa na Rwanda na Uganda kwenye swala la Congo.
Rwanda na Uganda wamekuwa waliiba Diamond za Congo kwa muda mrefu sasa na ni wakati wa Tanzania kukaa chini na kabila na kufanya kama USA.
Tutawasaidia na lakini tutataka wafanyabiashara wa Tanzania waweze kufanya biashara Congo, Kampuni za madini zifungiliwe Tanzania na Congo iwekeze kwenye baadhi ya miradi kama reli na kutumia bandari ya Tanzania.
Sisi tutawapa ulinzi wa jeshi.
Rwanda na Uganda wamekuwa waliiba Diamond za Congo kwa muda mrefu sasa na ni wakati wa Tanzania kukaa chini na kabila na kufanya kama USA.
Tutawasaidia na lakini tutataka wafanyabiashara wa Tanzania waweze kufanya biashara Congo, Kampuni za madini zifungiliwe Tanzania na Congo iwekeze kwenye baadhi ya miradi kama reli na kutumia bandari ya Tanzania.
Sisi tutawapa ulinzi wa jeshi.