ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,019
- 3,881
Ni aibu sana;
Taasisi ambayo maafisa wake wamepewa jukumu la kuhakikisha kuwa rushwa inakuwa haramu nao wameingia kwenye mkumbo wa kuwa wala rushwa.
Niseme tu kwa sasa namsomea huyu jamaa mchezo yeye wacha ajilete tu na mimi nampelekea nzima nzima ila nsema hivi nikishamalizana na hii issue nitamfanyia kitu kibaya sana.
Yaani mimi nia risk usalama wangu ili nishiriki katika kupiga vita rushwa halafu yeye anataka tena kula hela yangu?Anafikiri mimi nimeshindwa kutoa hiyo hongo ili mambo yangu yaende?Sijashindwa nilitaka kuonyesha uzalendo ila yeye kanionyesha uchafu uliojaa na unafiki na mimi nitamuonyesha kuwa mimi ndio malendo nisiyeacha chenchi na hichi ndio nitakachofanya.
Kwanza nitampa hela anayotaka ili ajue kwamba kwangu hela sio shida.Kisha nitamfanyia soo chafu ambalo hajawahi kulipata na nitahakikisha yeye ananihonga mimi mara tano ya hela anayotaka sasa hivi na bado sitamuachia hivi hivi.
Inakera sana,ndio maana hata chadema walipokuwa na ile video ya mnyeti akitoa rushwa bado Kamishna wa tume alipuuza na baadaye yule mtu akawa promoted ni kwa sababu hii vita ya rushwa ni selektivu.
Sasa nimwambie yule afisa wa TAKUKURU niliyekuletea taarifa ya Rushwa nikihitaji uchukue hatua na kisha ukamtafuta yule jamaa niliyemripoti kimya kimya bila kujua kuwa na mimi nilikuwa nimeweka watu wakufuatilia sasa fahamu hivi.Ninazo taarifa kamili ya mpango wako na hiyo hela unayotakja nitakupeni ila nikimaliza ninawaanzishia tena nitawapa na biti ya maana halafu mtaelewa kwamba sisi wengine sio hao wajinga mnao waona huku mtaani.Pumbavu.
Taasisi ambayo maafisa wake wamepewa jukumu la kuhakikisha kuwa rushwa inakuwa haramu nao wameingia kwenye mkumbo wa kuwa wala rushwa.
Niseme tu kwa sasa namsomea huyu jamaa mchezo yeye wacha ajilete tu na mimi nampelekea nzima nzima ila nsema hivi nikishamalizana na hii issue nitamfanyia kitu kibaya sana.
Yaani mimi nia risk usalama wangu ili nishiriki katika kupiga vita rushwa halafu yeye anataka tena kula hela yangu?Anafikiri mimi nimeshindwa kutoa hiyo hongo ili mambo yangu yaende?Sijashindwa nilitaka kuonyesha uzalendo ila yeye kanionyesha uchafu uliojaa na unafiki na mimi nitamuonyesha kuwa mimi ndio malendo nisiyeacha chenchi na hichi ndio nitakachofanya.
Kwanza nitampa hela anayotaka ili ajue kwamba kwangu hela sio shida.Kisha nitamfanyia soo chafu ambalo hajawahi kulipata na nitahakikisha yeye ananihonga mimi mara tano ya hela anayotaka sasa hivi na bado sitamuachia hivi hivi.
Inakera sana,ndio maana hata chadema walipokuwa na ile video ya mnyeti akitoa rushwa bado Kamishna wa tume alipuuza na baadaye yule mtu akawa promoted ni kwa sababu hii vita ya rushwa ni selektivu.
Sasa nimwambie yule afisa wa TAKUKURU niliyekuletea taarifa ya Rushwa nikihitaji uchukue hatua na kisha ukamtafuta yule jamaa niliyemripoti kimya kimya bila kujua kuwa na mimi nilikuwa nimeweka watu wakufuatilia sasa fahamu hivi.Ninazo taarifa kamili ya mpango wako na hiyo hela unayotakja nitakupeni ila nikimaliza ninawaanzishia tena nitawapa na biti ya maana halafu mtaelewa kwamba sisi wengine sio hao wajinga mnao waona huku mtaani.Pumbavu.