Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,270
- 105,440
Wananchi wakiwa ni sehemu ya tatizo, kiongizi anatakiwa kuwaongiza vizuri.Kama watu ambao ndio walikuwa wanapigia kelele hayo mambo ya Magufuli katika suala la Corona ndio hao hao wakati wa uchaguzi nao wakaungana na Magufuli halafu sasa hivi baada ya uchaguzi kuisha ndio wanarudia kumsema Magufuli,wakati mwengine wananchi nao huwa ni sehemu ya Tatizo.
Sasa kwetu mpaka kiongozi tatizo.