Hakuna kiongozi anayetokea tu from nowhere. Tusazimishe mambo. Kila kiongozi anakuja kwa wakati wake na sababu zake.
Usaliti hujaanza leo. Tunajua nini alifanya Yuda Iskariote baada ya kufikiria kupata zile hela atakuwa amepiga bingo.
Unajisikiaje kila mtu anaadhibiwa sababu ya kamali za kisiasa?
Umenifananisha bossMkuu!usha maliza masters?au pole pole bado anakusumbua kukutana nae kumalizia research?Karib tena Kaganga bado imefurika hadi pomoni!!
Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.
Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana katika ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapoenda sokoni kununua kiredio cha Tsh 5k kwa 20k ndipo utajua yapo mambo sio ya kufanya utani.
USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutamani kuona WB wanatunyima hizi pesa.
USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500MUngetupooza kiukweli.
Let us pray for this nation.
Lakini hupaswi kulazimisha mkopo. Kama lender hataki sasa ya nini.And do you think you are poorer? Kukopa hata US inakopa tena kwa viwango vya kutisha. Hizi shule zetu zitusaidie kufikiria. Naona kama tunakariri tu
Usisahau msemo wa wahenga samaki moja akiozaHakuna kiongozi anayetokea tu from nowhere. Tusazimishe mambo. Kila kiongozi anakuja kwa wakati wake na sababu zake.
Usaliti hujaanza leo. Tunajua nini alifanya Yuda Iskariote baada ya kufikiria kupata zile hela atakuwa amepiga bingo.
Unajisikiaje kila mtu anaadhibiwa sababu ya kamali za kisiasa?
Tusali kuomba hela ya "mabeberu?" Au leo wamebadilika na kuwa malaika????Ndugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.
Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana katika ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapoenda sokoni kununua kiredio cha Tsh 5k kwa 20k ndipo utajua yapo mambo sio ya kufanya utani.
USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutamani kuona WB wanatunyima hizi pesa.
USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500MUngetupooza kiukweli.
Let us pray for this nation.
"Mashetani" katika ubora waoNdugu zangu kuna wakati yatupasa kuacha siasa maji taka nakuliangalia taifa kwa jicho la huruma.
Hizi pesa serikali imeziomba WB ni pesa ambazo zitatusaidia sana katika ku balance our Balance of payment kwasababu sisi tuna import more than export mnaweza cheka na kupeana heko ila wote tutaumia na tusiwe wapumbavu kufurahia jambo hili pale utakapoenda sokoni kununua kiredio cha Tsh 5k kwa 20k ndipo utajua yapo mambo sio ya kufanya utani.
USD inapanda kwa speed kubwa hii sio picha nzuri sasa tusiwe wajinga kutamani kuona WB wanatunyima hizi pesa.
USD kwa sasa imefika 2327 ina maana batch ya mafuta ijayo wese litapanda sio kushuka sasa huu mkopo wa $500MUngetupooza kiukweli.
Let us pray for this nation.
"Sisi ni dona kantre"Mikopo haitasaidia, inabidi tuongeze exports. Makodi ya hovyo hovyo katika biashara hasa za kuexport inabidi yafutwe. Yaani sisi uchumi wetu hatuna tofauti na binti anayevaa kigodoro, kupaka makeup na kutumia mafilter halafu anajiona mzuri.
Msije mkatulets virus vya corona hapaTutaenda kwa ndugu zetu China na Urusi. Mabeberu wasitubabashe.