Kama Taifa tumpe Rais Magufuli ushirikiano katika kudhibiti mfumuko wa bei

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
680
1,338
Salaam wanasafu!

Jana Mh Rais akihutubia kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani alisema ahadi yake ipo pale pale ya kuongeza misharaha lakini tuvute subra.


Hoja yake ya msingi ikiwa sasa anajikita zaidi kwenye kupunguza gharama za maisha kwa wafanyakazi na Watanzania kwa ujumla.

Nadhani akifanikiwa hili na naamini atafanikiwa tu bei za nafaka zishuke,Dollar isipande na bei ya mafuta ishuke zaidi ili akija kuongeza mshahara basi hapo tutaona unafuu wa maisha kwa wafanyakazi na Watanzania wote.

Nadhani ni jambo muda mfupi tu tumpe Rais wetu ushirikiano wa kutosha kwa mustakabhali wa Taifa letu

Uzalendo kwanza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
0758 308494 maoni na ushauri
 
Kuweka tu jina lako na namba yako ya simu haitoshi! Weka na kiwango chako cha elimu na pia shughuli unayoifanya kwa sasa ili kujipatia kipato. Huwezi kujua, unaweza na wewe ukakumbukwa kwa kuunga kwako mkono juhudi.
0758 308494 maoni na ushauri, mpigie mkuu no yake hiyo
 
Itakuwa ngumu kwani hatuna mkakati wa kuongeza exports, wakati huohuo tunaongeza matumizi ya fedha za kigeni, hizo ndege hatununui kariakoo zinatoka nje kwa fedha za kigeni.

Sote tunajua tumechengana na musimu wa korosho, mauzo ya dhahabu yameshuka, sera ya viwanda ndo hiyo tumeambulia kiwanda cha sayona bidhaa zake hata congo hawanunui,
 
Salaam wanasafu!

Jana Mh Rais akihutubia kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani alisema ahadi yake ipo pale pale ya kuongeza misharaha lakini tuvute subra.


Hoja yake ya msingi ikiwa sasa anajikita zaidi kwenye kupunguza gharama za maisha kwa wafanyakazi na Watanzania kwa ujumla.

Nadhani akifanikiwa hili na naamini atafanikiwa tu bei za nafaka zishuke,Dollar isipande na bei ya mafuta ishuke zaidi ili akija kuongeza mshahara basi hapo tutaona unafuu wa maisha kwa wafanyakazi na Watanzania wote.

Nadhani ni jambo muda mfupi tu tumpe Rais wetu ushirikiano wa kutosha kwa mustakabhali wa Taifa letu

Uzalendo kwanza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
0758 308494 maoni na ushauri

Apunguze bei ya nafaka huku pembejeo kama mbolea na viuatulifu viko juu? Au kwakuwa wakulima hawana wa kuwatetea? Ni sahihi mtu anunue mbolea zaidi ya 50kg kwa 60,000tsh kisha auze gunia la 100kg kwa 35,000? Hiyo unayoita kudhibiti bei ya nafaka ndio anazidi kuwatia wakulima ufukara. Au kwakuwa wakulima wameridhika na umasikini?
 
Ni lini na wapi alishawahi nyimwa ushirikiano? Hivi ni kwanini kushindwa kwake kwa mambo ya msingi kwwnye uchumi kunavikwa koti la kutopewa ushirikiano, kutokuungwa mkono etc...
 
Kweli watz wengi sana IQ below 70 ambayo ni mental retarded kind of... Ndiyo maana mkulu alisema watanzania sio wajinga saana!! Hivi kumwongeza mtumishi mfano elfu arobaini baada ya miaka minne ndiyo itapandisha bei ya bidhaa?ndiyo itaharibu uchumi? Akiondoka anadai atapandisha sana hiyo haitaharibu uchumi au atamwachia zigo ajaye? poor tz
 
Mimi nadhani Ndugu Rais. Angeomba ushauri kwa Mzee Mkapa. Mzee Mkapa alifanya vizuri sana kwenye eneo la mfumuko wa bei.

sote ni mashahidi kwa kipindi cha miaka 10 sukari. Mchele maharagwe na nk. Havikupanda hata kidogo. Aliweza kujenga uchumi imara sana. Elf 1 ilikua inakupa kiburi mjini.

Mimi nakumbuka elf 3,500 ilikua inaiwezesha familia yangu kula chai asubui chakula mchana na jioni tena chakula bora kabisa. Sasa hivi duh elf 20 kwa siku haitoshi.
 
Mimi nakumbuka elf 3,500 ilikua inaiwezesha familia yangu kula chai asubui chakula mchana na jioni tena chakula bora kabisa. Sasa hivi duh elf 20 kwa siku haitoshi.
Nyinyi ndo mnaitwa wanaume wa Dar Es Salaam, kama haitoshi rudi kijijini!
 
Salaam wanasafu!

Jana Mh Rais akihutubia kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani alisema ahadi yake ipo pale pale ya kuongeza misharaha lakini tuvute subra.


Hoja yake ya msingi ikiwa sasa anajikita zaidi kwenye kupunguza gharama za maisha kwa wafanyakazi na Watanzania kwa ujumla.

Nadhani akifanikiwa hili na naamini atafanikiwa tu bei za nafaka zishuke,Dollar isipande na bei ya mafuta ishuke zaidi ili akija kuongeza mshahara basi hapo tutaona unafuu wa maisha kwa wafanyakazi na Watanzania wote.

Nadhani ni jambo muda mfupi tu tumpe Rais wetu ushirikiano wa kutosha kwa mustakabhali wa Taifa letu

Uzalendo kwanza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
0758 308494 maoni na ushauri
Taifa la lumumba!!!.....Foolish fool...
 
Mie na compy na nimeajiri watu kama 6 sipo hapa kutafuta teuzi nimeweka number kwa ushauri au maoni.


Miaka yote tumezoea kuambiwa uongo na hadaa nyingi

Magufuli ndo kiongozi ambaye anatuambia ukweli mtupu kitu ambacho hatujazoea

Nyie mliowekwa humu kutukana na kupinga kila kitu tunawajua wote
 
Mie na compy na nimeajiri watu kama 6 sipo hapa kutafuta teuzi nimeweka number kwa ushauri au maoni.


Miaka yote tumezoea kuambiwa uongo na hadaa nyingi

Magufuli ndo kiongozi ambaye anatuambia ukweli mtupu kitu ambacho hatujazoea

Nyie mliowekwa humu kutukana na kupinga kila kitu tunawajua wote
Mkuu, punguza kula mahindi ya kuchoma yaliyowekwa chumvi. Hata wewe unapinga mawazo ya wenzako ndiyo maana unatoa hoja ambazo hazikubaliki na kila mtu. Sasa unalalamika nini tena?
 
Salaam wanasafu!

Jana Mh Rais akihutubia kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani alisema ahadi yake ipo pale pale ya kuongeza misharaha lakini tuvute subra.


Hoja yake ya msingi ikiwa sasa anajikita zaidi kwenye kupunguza gharama za maisha kwa wafanyakazi na Watanzania kwa ujumla.

Nadhani akifanikiwa hili na naamini atafanikiwa tu bei za nafaka zishuke,Dollar isipande na bei ya mafuta ishuke zaidi ili akija kuongeza mshahara basi hapo tutaona unafuu wa maisha kwa wafanyakazi na Watanzania wote.

Nadhani ni jambo muda mfupi tu tumpe Rais wetu ushirikiano wa kutosha kwa mustakabhali wa Taifa letu

Uzalendo kwanza.
Alex Fredrick
Dar es salaam
0758 308494 maoni na ushauri

Unaweza kuwa na pointi nzuri lakini wewe ni Mwanasiasa pia? kwani ukitoa sababu nyingine za kweli kabisa za kusihindwa kupandisha mishahara in support of Rais utakufa? kwa mfano: Hata mimi naunga mkono hatua ya Rais, lakn, i don't like political correctness. Call a spade by its real name. Si mnasema Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu? Sabu kuu kwa mfano (just use your common sense): Unajua "Wage bill" ya serikali ya Tanzania asilimia ngapi ya pato lote la taifa? Je unaweza kuongeza mishahara ya watumishi, (ambayo itapandisha "wage bill" maradufu) kama huna hakika ya kuongezeka kwa mapato? I also support JPM kutokuongeza mishahara kwa sababu zipo sababu za msingi. Lakini ni lazima tusema ukweli ili tuwe wapenzi wa Mungu. Najua mnaogopa kusema ukweli kwa vile pia mnasema uchumi umekua na ukusanyaji wa mapato umeongezeka sana. You are telling half truth.
 
Itakuwa ngumu kwani hatuna mkakati wa kuongeza exports, wakati huohuo tunaongeza matumizi ya fedha za kigeni, hizo ndege hatununui kariakoo zinatoka nje kwa fedha za kigeni.

Sote tunajua tumechengana na musimu wa korosho, mauzo ya dhahabu yameshuka, sera ya viwanda ndo hiyo tumeambulia kiwanda cha sayona bidhaa zake hata congo hawanunui,
Hivi viwanda vya Juice nasikia concetrate zake wanatoa nje ya nchi, halafu wao wana dilute na kupakia tu...nilishangaa
 
Unaweza kuwa na pointi nzuri lakini wewe ni Mwanasiasa pia? kwani ukitoa sababu nyingine za kweli kabisa za kusihindwa kupandisha mishahara in support of Rais utakufa? kwa mfano: Hata mimi naunga mkono hatua ya Rais, lakn, i don't like political correctness. Call a spade by its real name. Si mnasema Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu? Sabu kuu kwa mfano (just use your common sense): Unajua "Wage bill" ya serikali ya Tanzania asilimia ngapi ya pato lote la taifa? Je unaweza kuongeza mishahara ya watumishi, (ambayo itapandisha "wage bill" maradufu) kama huna hakika ya kuongezeka kwa mapato? I also support JPM kutokuongeza mishahara kwa sababu zipo sababu za msingi. Lakini ni lazima tusema ukweli ili tuwe wapenzi wa Mungu. Najua mnaogopa kusema ukweli kwa vile pia mnasema uchumi umekua na ukusanyaji wa mapato umeongezeka sana. You are telling half truth.
Hivi kipindi cha Kikwete makusanyo yote yalikuwa yanaishia kwenye mshahara nini..?

Anasema miradi ya reli ya kisasa, umeme wa Stieglers ikikamilika atapandisha mishahara, sijui kama ni kweli, maana kutakuwa na deni kubwa la kulipa na hiyo miradi haina guarantee ya kuzalisha heka haraka haraka hivyo

Ndege zenyewe hizi nadhani zitahitaji ruzuku kuziendesha, maana Kiafrika Afrika shirika la ndege kuoiga faida ni ngumu sana, achilia mbali shirika linaloanza
 
Unaweza kuwa na pointi nzuri lakini wewe ni Mwanasiasa pia? kwani ukitoa sababu nyingine za kweli kabisa za kusihindwa kupandisha mishahara in support of Rais utakufa? kwa mfano: Hata mimi naunga mkono hatua ya Rais, lakn, i don't like political correctness. Call a spade by its real name. Si mnasema Msema ukweli ni mpenzi wa Mungu? Sabu kuu kwa mfano (just use your common sense): Unajua "Wage bill" ya serikali ya Tanzania asilimia ngapi ya pato lote la taifa? Je unaweza kuongeza mishahara ya watumishi, (ambayo itapandisha "wage bill" maradufu) kama huna hakika ya kuongezeka kwa mapato? I also support JPM kutokuongeza mishahara kwa sababu zipo sababu za msingi. Lakini ni lazima tusema ukweli ili tuwe wapenzi wa Mungu. Najua mnaogopa kusema ukweli kwa vile pia mnasema uchumi umekua na ukusanyaji wa mapato umeongezeka sana. You are telling half truth.
Mie nimejaribu kueleza kwamba Rais Magufuli anatengeneza uchumi imara ili badae akipandisha mishahara kusiwe na mfumuko wa bei

Awamu ya nne mnasema uchumi ulikuwa mzuri. How?ikiwa ndio Awamu tumeona pesa ikitakatishwa njia rahis sana.

Watu wana pesa lakini nyingi za wizi mkubwa tena kwa njia haramu

Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni ndio ulikuwa uchochoro wa pesa chafu na ndio maana kila uchao Dollar ilikuwa inapanda kila siku
 
Mie na compy na nimeajiri watu kama 6 sipo hapa kutafuta teuzi nimeweka number kwa ushauri au maoni.


Miaka yote tumezoea kuambiwa uongo na hadaa nyingi

Magufuli ndo kiongozi ambaye anatuambia ukweli mtupu kitu ambacho hatujazoea

Nyie mliowekwa humu kutukana na kupinga kila kitu tunawajua wote

Hao wanaotumbia uongo wanatoka chama gani? Cdm au nccr mageuzi? Hivi kwanini nyinyi wapumbavu mnakuwa hamna akili?
 
Back
Top Bottom