iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Mimi naona ni kichekesho na ni "kamchezo"
Kwa nini mkuu qa mahakama ya kisutu alizitawanya kesi kwa mahakimu tofauti japo hazina utofauti?
Kama kajidhamini mahakamani hapo kwa kesi mbili zinazofanana,kwa nini dhamana hiyo,kwa busara ikaenda kwenye kesi ya tatu?
Kwa nini kwenye dhamana wanageukana lakini tarehe ya kesi walikubaliana ikawa tarehe moja? Je kwa kuwa tarehe ya kesi ni moja,kwa kesi zote tatu,je angeruka dhamana kwenye kesi moja wakati angekuja kwenye zile mbili?
Nadhani sasa jaji mkuu atolee tamko huu mwenendo unaokanganya katika mahakama zetu
Yaani kesi ya dot tz ambayo hata kutoandikwa kwake hajuamdhuru mtu nalo linalaza mtu rumande? Ni hatari kwa usalama wa nchi? Ni mauaji?
Kwa nini mkuu qa mahakama ya kisutu alizitawanya kesi kwa mahakimu tofauti japo hazina utofauti?
Kama kajidhamini mahakamani hapo kwa kesi mbili zinazofanana,kwa nini dhamana hiyo,kwa busara ikaenda kwenye kesi ya tatu?
Kwa nini kwenye dhamana wanageukana lakini tarehe ya kesi walikubaliana ikawa tarehe moja? Je kwa kuwa tarehe ya kesi ni moja,kwa kesi zote tatu,je angeruka dhamana kwenye kesi moja wakati angekuja kwenye zile mbili?
Nadhani sasa jaji mkuu atolee tamko huu mwenendo unaokanganya katika mahakama zetu
Yaani kesi ya dot tz ambayo hata kutoandikwa kwake hajuamdhuru mtu nalo linalaza mtu rumande? Ni hatari kwa usalama wa nchi? Ni mauaji?