buchenza
Senior Member
- Aug 24, 2012
- 190
- 66
Mdogo wangu nilikuacha la tano b miaka ile sikujua kuna wakati ungekuja kujulikani hivi ila mola atakutoa mkuu tupo nyuma yako nilikuwa nje mda mrefu nimeingia jana naambiwa wewe ni mharifu napata shida kidogoDaaaaaaaaah,kwa hiyo mshkaji Mexence bado anashikiliwaa,daaaaaah,something is very wrong in current leadership style,vyombo vya kutenda haki vinakandamiza haki