#COVID19 Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!

Gwajima anapata mwanya kupitia ushmaba wetu. Watanzania wengu tu washamba bila kujali umri na elimu.
Unakuta mtu mzima na msomi anaamini yale maigizo ya kunatisha sumaku mabegani eti chanjo zinanasa usumaku.
Kwa hilo tu unagundua ni kiasi gani tulivo washamba.
Viblog vya wahuni ulaya na USA wanatengeneza press conference kuongelea mambo ya africa, halafu mtu mzima na msomi anaamini kwa aslimia 100. Najua siasa za kumwenzi jiwe zinachangia lakini wewe kama ni mtu mzima unakuwaje mjinga hata kuhatarisha maisha yako?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Uhuru wa kujieleza Pasco

Hii habari ya chanjo inachanganya hata huko America kuna baadhi ya state zimeikataa hii Johnson and Johnson tulioletewa sisi .
Johnson ndo chanjo yenye asilimia ndogo zaidi za kukinga. Hii ndo sababu ya kwanza, na ya pili ni kwamba iliwahi kusimamishwa kutolewa baada ya madai kuwa inasababisha vifo. Uchunguzi ulifanyika na baada ya kuona haina madhara ikaruhusiwa kuendelea kutolewa. Sasa kutokana na uvumi mbalimbali unaoendelea mitandaoni ndio sababu baadhi ya majimbo wanaona isiwe tabu,,, kama kuna chanjo zingine ni bora zitumike ili mwitikio uwe mkubwa ,,,kwani lengo linabaki palepale,,- kuchanja watu waote duniani.


Nakushauri uwe mfuatiliaji mwenyewe kutoka vyanzo vya uhakika. Hapa Tanzania siasa zimeingia humo. Kuna wale wa kuenzi mawazo ya jiwe ,,, hawataki kabisa kusikia kitu kinaitwa chanjo kwani ni kama kumdhalilisha bwana wao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Gwajima hayupo serikalini.

Ana haki ya kutoa maoni yake hata kama maoni hayo ni ya kipumbavu!

Kwenye demokrasia watu wana haki ya kuwa wapumbavu na wana haki ya kukosea pia.

Gwajima asinyamazishwe. Apingwe kwa hoja.
 
Umeongea kama mpumbavu, nadhani chuki yako kwa gwajima bado ni kubwa na kujipendekeza kwako kwa samia kumeanza vibaya. Taifa ni nani? Si kila siku unazungumza uhuru wa kujieleza? Katiba inasemaje?upumbavu si matusi ni sifa kama mweusi na mweupe n.k bado unamchukia gwajima toka kipindi kile amchambue askofu pengo.

Kisha akakubwaga vibaya kwenye kula ya maoni ya ubunge kawe. Na kuja shinda kwa kishindo. Kwanin unadhani pengo alikuwa na haki ya kuzungumzia siasa ila wengine hawana haki?

Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
 
Bora wasukuma mjitokeze muongee naye hata kilugha atawaelewa
Na wakijitokeza mimi naomba tu wanitafsiriye tu huyu mbunge anaongea nini kwenye hii video hapa chini.


Nawaona na waumini wanavyomsikiliza kwa umakini wa hali ya juu, masikini Tanzania!
 
Ndio shida ya shetani yule Magufuli kuokota mavi takataka kulee sababu tu ni msukuma Na kuwaleta kwenye Chama. Yani angenyamaza tuu
CCM fukuza hii mbwa Gwajima.
 
Usaliti kwa taifa ulianza lini?Uchunguzi wa chanjo hii umefanyikia maabara ipi Tanzania?
Tuache kusaka vyeo!
 
Kulingana na vyanzo vya taarifa kupitia tovuti za marekani, hiyo Johnson & Johnson haina madhara kwani ilishafanyiwa majaribio kwa Waathirika elfu 40 bila ya wao kupata matatizo.

Generally, Chanjo/Vyanjo vya aina 3 ambazo zimethibitishwa na kupitishwa kuwa hazina madhara na nchi ya Marekani in hizi:
Screenshot_20210727-022302.jpg
 
Gwajima ni mpumbavu tu na wanayemuunga mkononi wapuuzi vilevile.Hoja ni chanjo au chanjo ya Mmarekani? Kama hoja ni chanjo ya mmarekani kwanini iwe ya corona pekeyake na si chanjo zingine ambazo watoaji ni wale wale.

Chanjo za watoto chini ya miaka 5 zinatolewa na hao hao bure, kwanini nazo tusizikate, maana kama lengo ni kutuuua
watatumia hata hizo za watoto za surua, ndui, kifua kikuu, tetekuwanga, polio, pepopunda (tetenus) za wajawazito.

Hakuna dawa hospitalini zilizotengenezwa na waafrica, zote zinatoka kwa hao hao.Dawa za Ukimwi, kifua kikuu, presha, kisukali, madawa ya operation, Cancer kwa Ujumla dawa zote zinatoka kwa hao watu weupe, hivyo awaambie sereikali wapige marufuku dawa zote za wazungu zisitumike nchini, vinginevyo kama nia ni kutuuua watatumia haya madawa na chanjo kutekeleza azma yao.

Kama issue ni mmarekani tuagize chanjo ya Urusi au China au Cuba au Iran maana naye nasikia anatengeneza yake.

Ni Mpumbavu pekee anayetaka Tanzania ijitenge na dunia kwenye chanjo wakati hatuna uwezo wa kutengeneza kidonge
.Mtu yeyote humu ataje kidonge kilichowahi kutengenezwa Tanzania na kutumika humu nchini. Ni wendawazimu kudhani nchi
ambazo haina urafiki wowote kama Marekani na Urusi au na China au na Cuba au na Irani eti ziungane kwenye suala la chanjo ili kuwaua Watanzania.

Huyu bwege Gwajima anachanganya tu habari mara analeta mambo ya dini eti chapa 666 sijui chanjo ni mpinga kristo, kama ni hivyo basi tulishapigwa chapa ya ndui mara bado ipo kwenye majaribio, mara zimetengenezwa kwa muda mfupi, anajaribu kulinganisha
chanjo zilizotengenezwa miaka ya 1950s wakati teknoloji ikiwa duni na miaka hii ambapo dunia ipo mbali kiteknolojia.

Anataka kutuambia hizo nchi ambazo zimetengeneza chanjo ambazo ambazo kwanza zina sera na mitazamo tofauti, zote zina lengo la kuwaua watanzania? Kwa kipi kilichopoTanzania hadi wapange njama za kuua watanzania? na kwa faida ipi kwao? Bongo kweli vilaza wanazidi kuongezeka
Natamani kila mtanzania asome hii. Article
 
A

Askofu Gwajama achwe aendele na kutoa elimu kuhusu chanjo ya UVIKO - 19 (COVID -19) kama apendavyo huko kwenye Platform yake nyingine na walengwa wake; kwani naamini hiyo ni haki yake kama kiongozi wa kiroho kwa hao kondoo wake. Akiwa Bungeni, hiyo ni Platform nyingine na anaweza kuitumia kadri atakavyo ona inafaa. Na in fact alisha toa msimamo wake huko Bungeni juu ya UVIKO - 19 na hizo chanjo. Tena alizifafanua kitaalamu kweli kweli. Binafsi nadhani aendelee kutoa "elimu mbadala" juu ya UVIKO - 19 tofauti na viongozi wengine ambao wanafuata UPEPO TU on anything as long as kinasemwa na mkubwa. Si unakumbuka suala la Bandari ya Bagamoyo na ujenzi wake!? Si unakumbuka viongozi hawa wanaounga mkono hilo suala LEO ndio hao hao walilikataa na kulipinga sana "JANA" wakati wa JPM! Hawa ndio viongozi wetu Pasco! Usimshangae Askofu Gwajima kwa msimamo wake huu.
Gwajima anapotosha umma hana elimu yeyote juu ya chanjo wala padadol.
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Unavunja Uhuru wa kutoa maoni.
Hayo ni maoni kama yalivyo maoni yako.
Hakuna kuhukumu mwacheni atufungue.
 
Kulingana na vyanzo vya taarifa kupitia tovuti za marekani, hiyo Johnson & Johnson haina madhara kwani ilishafanyiwa majaribio kwa Waathirika elfu 40 bila ya wao kupata matatizo.

Generally, Chanjo/Vyanjo vya aina 3 ambazo zimethibitishwa na kupitishwa kuwa hazina madhara na nchi ya Marekani in hizi:
View attachment 1869714
Hakuna chanjo iliyooitishwa na FDA marekani.
Zote ni mpango wa majaribio hivyo zimepata kibali cha udharura.
 
Wanabodi,

Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu!

Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio kiongozi wa kiroho kwa waumini na wafuasi wake. Hawezi kuhubiri jambo lolote mimbarini kwake, ambalo ni kinyume cha maslahi ya taifa.

Kwenye vita yoyote ya kitaifa, kama ilivyo vita ya Corona, ili kushinda vita, viongozi wote, must stand as one, Tanzania kama Taifa likiisha kubali Chanjo ya Covid Ndio Maslahi ya Taifa, Viongozi wote wa umma, wanakuwa bind na a collective responsibility clause, they must support, msimamo wa serikali.

Na kama hukubaliani na msimamo huo wa serikali, then unapaswa kunyamaza kimya yaani, "Shut Up" or kama huwezi kunyamaza, then you just Quit!

Kitendo cha kupingana na msimamo wa serikali wazi wazi kama alivyofanya Gwajima, huo ni usaliti, anatakiwa kushughulikiwa kama wasaliti wengine wote, na hatua ya kwanza ni kuachia ngazi kama mtumishi wa umma na kubaki na kazi moja tuu ya kuwachunga kondoo wake. Kitendo cha kuitumia mimbari kuhubiri siasa ni kuchanganya dini na siasa!

Je, Askofu Gwajima afanywejwe?

Pasco.
Huyu jamaa ame miscalculate siasa anafikiri bado yupo enzi za ' Nileteeee Gwajimaaa × 3" Naona dalili ya jimbo la Kawe kurudi kupata mbunge mwingine
 
Serikali haijapendeka kuwa chanjo ni lazima kila mwananchi achanje bali ni optional,sasa kwa gwajima kile kipengere cha hiyari ya kutoku chanjwa ndo anacho kitumia kwa nguvu zote.sioni usaliti wa gwajiboy
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom