Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,436
- 4,646
Gwajima anapata mwanya kupitia ushmaba wetu. Watanzania wengu tu washamba bila kujali umri na elimu.
Unakuta mtu mzima na msomi anaamini yale maigizo ya kunatisha sumaku mabegani eti chanjo zinanasa usumaku.
Kwa hilo tu unagundua ni kiasi gani tulivo washamba.
Viblog vya wahuni ulaya na USA wanatengeneza press conference kuongelea mambo ya africa, halafu mtu mzima na msomi anaamini kwa aslimia 100. Najua siasa za kumwenzi jiwe zinachangia lakini wewe kama ni mtu mzima unakuwaje mjinga hata kuhatarisha maisha yako?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unakuta mtu mzima na msomi anaamini yale maigizo ya kunatisha sumaku mabegani eti chanjo zinanasa usumaku.
Kwa hilo tu unagundua ni kiasi gani tulivo washamba.
Viblog vya wahuni ulaya na USA wanatengeneza press conference kuongelea mambo ya africa, halafu mtu mzima na msomi anaamini kwa aslimia 100. Najua siasa za kumwenzi jiwe zinachangia lakini wewe kama ni mtu mzima unakuwaje mjinga hata kuhatarisha maisha yako?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app