Mkuu unatumia Tecno?Haaa sio kwa kizazi hiki na ndito ya alinacha hizo na sio kwa selikaki na utawala wa ccm
ApanaMkuu unatumia Tecno?
Bado hatujachelewa tuhamasishe kutengeneza tu!..Hapo mbele kuna barabara inaitwa M6 TOLL...hio unalipia, huo mkeka utafikiri track ya F1
Ww kama hizo mjini kwenu zipohizo ni barabara za mijini... sidhani kama na wao wanaunganisha mji na mji wenye km zaidi ya 200 kwa barabara za style hyo
Wewe unadhani. Hizo ni barabara za mji hadi mji.hizo ni barabara za mijini... sidhani kama na wao wanaunganisha mji na mji wenye km zaidi ya 200 kwa barabara za style hyo
uwe na uhakika wa unachosema.hizo ni barabara za mijini... sidhani kama na wao wanaunganisha mji na mji wenye km zaidi ya 200 kwa barabara za style hyo
England hio
Hivi England ndio Uingereza eeh?England hio
NdioHivi England ndio Uingereza eeh?
Wewe unadhani. Hizo ni barabara za mji hadi mji.
M1......London-Leeds
M3...Southampton
M4...London-Wales
M40...London-Birmingham
M23-London-Brighton and Hove
Zipo kibao na zote ni njia tatu kwenda njia tatu kurudi hamna kusimama, unabadili njia au kuingia au kwenye highway kwa flyover
Qummer-maye wallah,sisi kuja kufikia hatua hizo no miaka 200 ijayo!Wewe unadhani. Hizo ni barabara za mji hadi mji.
M1......London-Leeds
M3...Southampton
M4...London-Wales
M40...London-Birmingham
M23-London-Brighton and Hove
Zipo kibao na zote ni njia tatu kwenda njia tatu kurudi hamna kusimama, unabadili njia au kuingia au kwenye highway kwa flyover