Kama silaha zilizooneshwa ndio za Jeshi letu, bado tupo nyuma sana

Unaelewa maana ya neno "show off"
You show off vitu ambavyo ni outdated, for which reasons!?

Umeshawahi kuona show off za Kenya!? Umeshawahi kuona show off za Uganda!?
Uki generalize kaka unakosea, nimekuambia kwenye show off unaweza oneshwa siraha bandia kumuogopesha adui au chakavu kumuhadaa adui yako.
 
Wakuu na naomba kuuliza kwan vita ni kuwa silaha za kutisha au ni Intelligence kuwa vyema Mbona US silaha za kutisha mbona Vietnam alichemka vizuri tuuu Vita ni Intelligence silaha zinakuja baadae
 
Umeongea kama unajua wakati hujui lolote kuhusu siraha, hujataja hata siraha moja ambayo unaona kwenye uwanja wa medani haiwezi kutumika effectively. Jielimishe basi kichwa chako kiende nchi ya box kuwa uwanja wa medani unaweza kuwa na lundo ya siraha na ukachakazwa vizuri. Mizinga mingi kama bm24 inependwa Sana duniani kote ila mizuri zaidi inotaka urusi na wataalamu wanasema ile za zamani iko vizuri Sana kupiga kwenye eneo la triangle. Vijana kama nyie nchi inapata hasara kuwa ni vijana wajinga ambao hawajui kuwa siraha na sanaa ya vita ni taaluma sio kila mtu anajua
Siraha" ndiyo nini wewe fisi wa kisukuma...fala wewe
 
Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.

Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Acha kuhangaika na hao watu wanajua wanachofanya. JK was an Army Officer na alikaa madarakani miaka 10, just get a hint!. Be very comfortable just in case of anything, japo hatuombei hilo! Naamini kuwa wanachokuja kukuonyesha wewe ni kile walichotunza kwenye archive yao kama kumbukumbu
 
Wew ulitaka uonyeshwe nn labda uridhike..
Kama huwa unamwambia kila kitu mkeo familia yako ipo hatarin sana.
 
Wew ulitaka uonyeshwe nn labda uridhike..
Kama huwa unamwambia kila kitu mkeo familia yako ipo hatarin sana.
Hizo silaha kama ndizo tulizonazo basi tuandike tumeumia. Hakuna kitu....ni silaha ndogo ndogo za masafa mafupi sana ambazo hata kutulinda haziwezi. Kwa hiyo huwezi kumwambia mkeo kila kitu? Wewe una shida sana, upo na tabia kama za mwendazake.
 
Acha kuhangaika na hao watu wanajua wanachofanya. JK was an Army Officer na alikaa madarakani miaka 10, just get a hint!. Be very comfortable just in case of anything, japo hatuombei hilo! Naamini kuwa wanachokuja kukuonyesha wewe ni kile walichotunza kwenye archive yao kama kumbukumbu
JK kuwa army officer halina tija hilo, tatizo ni silaha tulizo nazo, very obsolete, ni za kizamani sana, zimepitwa na wakati na efficacy yake ni almost half of the capacity.
 
Kaka wewe sio expert wa silaha tulia tu bro usione watu wametulia sio kwamba hawajui ila ethics za kazi zao haziwaruhusu kutema nyongo ungeona ulivyomweupe. I agree with you that technology ina nafasi kubwa kwenye vita ila hoja yangu ipo hivi kaka wengi wanakosea kuona ile show off ya juzi wakahisi ndio silaha tunazomiliki sio kweli. Hata hivi umetaja BM 21 ambayo imezinduliwa 1950s na kuanza kutumika 1967 imeshafanyiwa modification nyingi sana. Ungenipa technical specifications zake angalau ningejua umepita institute of fire support ila kama hujapita huko usiniambie tena chochote
BM-21 ni obsolete, kwanza siyo accurate, pili hazina masafa marefu na tatu ni unguided. Sasa ubora wake upo wapi? Hakuna modification zilizofanywa ila zimekuwa de-commissioned. Ukisema tunazo S-400 au S-300 ningesema hapo hakuna atakayesogeza pua yake. Ukisema ongeza na ndege kadhaa Sukhoi au MIG-29 au MIG-25 Supersonic, Chengdu J-10 (Multirole) hapo ningekwambia tupo mbali sana na tupo vizuri, lakini kwa hayo mabati? Hakuna kitu, jeshi bado lipo kienyeji mno.
 
Wengi wetu tunajadili kama vile kuichukukua timu ya namungo kwa mfano kisha tuipeleke ikacheze ligi kuu ya misri....yani hapo tupo vizuri sana kwa kulibganisha vibonde wenzetu....my dad R.I.P the retired soldier alishanambia huo ni mtori tu..nyama zipo chini sana......
 
Ubora wa Paka wako atapimwa kwa kudhibiti Panya sio ukali wa kucha au meno yake

Ubora wa Jeshi letu linapimwa kwa kulinda nchi na amani na usalama wake

Hongera zao sana JWTZ
Wakati mwingine akili unazitumia, wakati mwingine huzitumii
 
Ulinzi ni pamoja na kuonesha uwezo ulionao. Kwa silaha zilizooneshwa kusema kweli ni hafifu. Zimepitwa ma wakati. Uganda na Kenya wana silaha bora kutuzidi.
We are weak compared to them.
Wabongo wajuaji Sana weak kwa viwango vipi ? afu huwezi onyesha coin yako ya mwisho ila Mungu mkubwa ukiuliza hizo nchi zote nani zinamhofia kwenye makablasha yao watakueleza and they know TPDF well we ka huko vijiweni kwako kwa mpalange and you talk this shit
 
Inaangusha mkuu

Ndio drone uchwara hizo nilizosema. Hapo hiyo kill ni within visual range, ya kawaida. Ujue hata Ukraine kuna siku walitumia MANPAD kupiga cruise missile. Ni case ambazo sio guaranteed destruction.

Na hasara kutumia interceptor yenye gharama kubwa maradufu kuzidi suicide drone inayopigwa. Ingawa unalinganisha na madhara ambayo ingeleta
 
Toka 2010 zaidi ya wanajeshi 2300 wa Marekani waliuwawa huko Afghanistan dhidi ya wanamgambo wa Taliban...

Kwa nini wasingetumia tecnolojia kupiganisha vita...

Leo unaambiwa Urus imepeleka wanajeshi zaidi ya 175,000 kwenye mpaka na Ukrane kwa nini wasingepeleka tecnolojia ndio ikapigane.?
🤣🤣🤣 Siraha ni zilezile bro ila wanaziimprove tuu.
Mimi NASHANGAA HUMU ndani WANASEMA Ethiopia wanavifaa vya kisasa.
Ila waasi wa TPLF waliwachakaza kinoma ,
Mpaka uturuki wakawasahuri kununua drone , no wakafanikiwa.
Sasa ila HUMU UKIANGALIA watu wa HUMU ndani Ethiopia wanalisifia jeshi Lao balaa.
 
Wape shule vijana wanaokurupukia mambo military exhibition ni limited sana huwezi kuonesha kila kitu na wala humu hutapata update yoyote ya siraha nchini.Ubora wa jeshi unapimwa kwa mission na vita inavyoshinda. Rejea anjourn invasion, operation chakaza, operation kumekucha. Watu wanaropoka tu ila hawajui kitu kwenye ukanda maziwa makuu tunaongoza kwa kupiga mizinga hata jeshi letu linaongoza kwa kuhimili mikiki kwenye front line. Wakongo wanatujua tulivyowachakaza m 23, Burundi wanatujua tulivyowashumbulia miaka ya nyuma. Yakale ni dhahabdhahabu
Hakuna silaha yoyote iliyofichwa wenye uwezo wa kuficha silaha ni hao wenye ujuzi wa kuzitengeneza we mtz una ujuzi wa kutengeneza silaha gani hadi upige mkwara mbuzi kuwa Kuna silaha umeficha? Umeficha manati au? Tz zile silaha zinazoonyeshwa ndo zenye hafadhali zililzobaki ndo za kizamani zaidi ni aibu hata kuzionyesha.
 
Back
Top Bottom