Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
Wazungu kila siku wanafikiri namna ya kuu abolish black race, wametumia mbinu nyingi lakini kwa nguvu za maanani tunadumu Hadi Sasa. Wametuletea magonjwa ya kutengenezwa maabara, wametuletea GMO foods, wametuletea Vita na mabalaa mengi lakini hatufi