buberwa2019
New Member
- Apr 19, 2019
- 3
- 3
si kweli.. unabidi usome vitabu vingi sana vya historia labda utapata uelevu kwamba wazungu ndio zaifu ndio maana walikuwa wanatumia watumwa wa kiafrika kuamini kuwa ndio hodari wenye nguvu na hawaugui hovyo, pia ukizingatia kwamba walikuta tawala za kichief ambazo walikuwa na imani thabiti pamoja na technolojia zao kama misri walivyotengeneza pyramid ambazo zimedumu mpaka leo na wazungu kujaribu kung'oa pua katika sanamu za pyramid ili kuondoa ushahidi kuwa ni mwafrika ndio alikuwa na technologia ile ambayo mpaka sasa hawajajua ilikuwa vipi, pia ukijaribu kusoma vizuri ni kwamba waliwakata mikono waafrika ambao walikuwa na technilojia ya kufua chuma,