Kama si Muungano Zanzibar ingekuwa mbali sana

Kinachoikwamisha Zanzibar ni huu Muungano usio na faida ,unajua hata hii Mikoa kama ingeweza kujitawala yenyewe mbona kuna Mikoa ingekuwa haikamatiki kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wake.

Ruanda Burundi ni vinchi vidogo sana pengine hata baadhi ya mikoa yetu ni mikubwa sana,leo hao wanyaruamda na waburundi ingawa kuna mpito wa shida na vifo lakini mbele yao wanaiona nuru,

Hapa tunawekwa na ahadi hewa na mikakati ya mwisho wa dunia.Tupo katika kipindi cha kukabana aka kuekana jela na vizuizini kama nchi iliyofanya Mapinduzi ,

Huyu Samia kama ni mwerevu anaweza kabisa kuipapatua Zanzibar na jinamizi hili liitwalo Muungano.

Faida ya Muungano kusema kweli sijaiona kabisa kabisa. Zaidi ya kusimika viongozi wajaza matumbo yao. Wananchi wanashida wamejaa magonjwa yasiyoelezeka ambayo serikali ingeweza kabisa kuwatibu.leo raia wema hichohicho kiduchu wanachangishana kuwapatia huduma za afya.

Kuna YouTube channel zinaumbuwa serikali zetu ,ukiangalia wananchi wanatia huruma kabisa kabisa,inaonyesha wazi kabisa kiundani uongozi na serikali haziwajali wananchi .

Ni bora ili kujipapatua Serikali itangaze matibabu bure kwa waTanzania wote,kama haina dawa japo vipimo viwe vya bure.

Zanzibar ilikuwa na elimu bure yenye tija nzuri kabisa ,halikadhalika hospitali ilikuwa bure lakini leo ndani ya Muungano kila kitu kimevurugika. Bora ya jana.
Kuna maendeleo gani makubwa Rwanda,Burundi?hizi nchi ni ndogo kuriko Mkoa wa Kagera.
America ina majimbo Mengi makubwa,jimbo moja ni Sawa na nchi kama TZ,mbona Kuna maendeleo makubwa?
Ukubwa wa nchi na udogo wa nchi sio kigezo Cha maendeleo,China,Korea,ni nchi kubwa kwa eneo na zimeendelea,
Inawezekana kwako wewe muungano hauna maaana,lakini kawaulize wazenj wenye biashara zao za hotel,kuanzia Dodoma,Mafinga,Njombe,Dar ndio wapo kibao wanaendesha maisha,
Huku Dodoma ni jirani zangu,wamenunua viwanja,wamejenga,wapo na familia zao,wengine wameoa na kuolewa huku,
 
Kinachoikwamisha Zanzibar ni huu Muungano usio na faida ,unajua hata hii Mikoa kama ingeweza kujitawala yenyewe mbona kuna Mikoa ingekuwa haikamatiki kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wake.

Ruanda Burundi ni vinchi vidogo sana pengine hata baadhi ya mikoa yetu ni mikubwa sana,leo hao wanyaruamda na waburundi ingawa kuna mpito wa shida na vifo lakini mbele yao wanaiona nuru,

Hapa tunawekwa na ahadi hewa na mikakati ya mwisho wa dunia.Tupo katika kipindi cha kukabana aka kuekana jela na vizuizini kama nchi iliyofanya Mapinduzi ,

Huyu Samia kama ni mwerevu anaweza kabisa kuipapatua Zanzibar na jinamizi hili liitwalo Muungano.

Faida ya Muungano kusema kweli sijaiona kabisa kabisa. Zaidi ya kusimika viongozi wajaza matumbo yao. Wananchi wanashida wamejaa magonjwa yasiyoelezeka ambayo serikali ingeweza kabisa kuwatibu.leo raia wema hichohicho kiduchu wanachangishana kuwapatia huduma za afya.

Kuna YouTube channel zinaumbuwa serikali zetu ,ukiangalia wananchi wanatia huruma kabisa kabisa,inaonyesha wazi kabisa kiundani uongozi na serikali haziwajali wananchi .

Ni bora ili kujipapatua Serikali itangaze matibabu bure kwa waTanzania wote,kama haina dawa japo vipimo viwe vya bure.

Zanzibar ilikuwa na elimu bure yenye tija nzuri kabisa ,halikadhalika hospitali ilikuwa bure lakini leo ndani ya Muungano kila kitu kimevurugika. Bora ya jana.
Mie nafikiri awasaidie tu kujipapatua siyo tu kutoka ktk muungano bali mvunje na awapapatue kwenye uzanzibari ili msiwepo kwenye nchi, wala, mkoa, wala wilaya, wala tarafa, wala kata, wala kijiji, wala kitongoji, wala mtaa! Mbakie mnaishi kikaya tu mpambane na hali zenu! Na mkishindwa kushirikiana kama wana kaya basi muishi kimwenyewemwenyewe tu kana dume la nyani maana ninyi ni wabinafsi to the core mfyuuuuuu 😡!
 
Kinachoikwamisha Zanzibar ni huu Muungano usio na faida ,unajua hata hii Mikoa kama ingeweza kujitawala yenyewe mbona kuna Mikoa ingekuwa haikamatiki kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wake.

Ruanda Burundi ni vinchi vidogo sana pengine hata baadhi ya mikoa yetu ni mikubwa sana,leo hao wanyaruamda na waburundi ingawa kuna mpito wa shida na vifo lakini mbele yao wanaiona nuru,

Hapa tunawekwa na ahadi hewa na mikakati ya mwisho wa dunia.Tupo katika kipindi cha kukabana aka kuekana jela na vizuizini kama nchi iliyofanya Mapinduzi ,

Huyu Samia kama ni mwerevu anaweza kabisa kuipapatua Zanzibar na jinamizi hili liitwalo Muungano.

Faida ya Muungano kusema kweli sijaiona kabisa kabisa. Zaidi ya kusimika viongozi wajaza matumbo yao. Wananchi wanashida wamejaa magonjwa yasiyoelezeka ambayo serikali ingeweza kabisa kuwatibu.leo raia wema hichohicho kiduchu wanachangishana kuwapatia huduma za afya.

Kuna YouTube channel zinaumbuwa serikali zetu ,ukiangalia wananchi wanatia huruma kabisa kabisa,inaonyesha wazi kabisa kiundani uongozi na serikali haziwajali wananchi .

Ni bora ili kujipapatua Serikali itangaze matibabu bure kwa waTanzania wote,kama haina dawa japo vipimo viwe vya bure.

Zanzibar ilikuwa na elimu bure yenye tija nzuri kabisa ,halikadhalika hospitali ilikuwa bure lakini leo ndani ya Muungano kila kitu kimevurugika. Bora ya jana.
Zanzibar inategemea bajeti yake kutoka bara, umeme na mengi mengine. Sijui Zanzibar ingekuwaje kama sio muungano uliopo.
 
Aloo kama mnaweza hilo itakuwa mmefanya jambo la maana sana sana,msiishie hapo mrudishe na kilomita kumi za ukanda wa pwani,kudadadeki ,yaani asubuhi yake mtasikia chereko chereko ,Zanzibar hioo inapaa mnabaki midomo wazi.
Kwa mkataba upi ???fanyeni kazi wapuuzi nyinyi kazi kukaa vibarazani na kuanza kusema wapita njia na dini yenu ya kurithi na mapokea hiyo.
 
Nyerere aliwahi nukuliwa akisema angekuwa na uwezo hivyo visiwa angevisogeza mbali kabisa na yeye... Kwa akili yako unajua alimaanisha nini?
Ni hatari kwa usalama wetu. Yaani hapo ndio lingekuwa lango la Alshabab.
 
Msigwa wa Habari Maelezo akumbushwe kwamba Watanganyika bado wako wakisubiria ile ahadi yake ya kumleta mtaalamu wa kero za Muungano kutufafanulia mambo waliyotiliana sahihi Tanganyika na Zanzibar.
 
Ulitegemea Mwinyi aseme nini ? Na sababu ya yote ni Muungano au hukumsikia kusema hivyo ? Msikilize vizuri Ka Husein anaposema ,halafu taratibu ,usifananishe Islam na waislam ni mambo mawili tofauti kabsaa.
Waislamu ni kama wakiristo ni kama wahindu nikama wapagani kwa ufupi ni binadamu na huko unakopeleka kunasemwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe ,sasa hata nchi nzima iwe mumeiambukiza kukata viuno bado Muungano utakuwa ndio sababu ya yote hayo.

Kama ni kesi wahusika ni wa hukumu na vielelezo ni polisi na mahakama ,wenye vielelezo ni polisi ambao ni wa Muungano hivi unategemea nini kutoka kwao ?
So dini ya haki inaruhusu haya

USSR
 
Kinachoikwamisha Zanzibar ni huu Muungano usio na faida ,unajua hata hii Mikoa kama ingeweza kujitawala yenyewe mbona kuna Mikoa ingekuwa haikamatiki kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi wake.

Ruanda Burundi ni vinchi vidogo sana pengine hata baadhi ya mikoa yetu ni mikubwa sana,leo hao wanyaruamda na waburundi ingawa kuna mpito wa shida na vifo lakini mbele yao wanaiona nuru,

Hapa tunawekwa na ahadi hewa na mikakati ya mwisho wa dunia.Tupo katika kipindi cha kukabana aka kuekana jela na vizuizini kama nchi iliyofanya Mapinduzi ,

Huyu Samia kama ni mwerevu anaweza kabisa kuipapatua Zanzibar na jinamizi hili liitwalo Muungano.

Faida ya Muungano kusema kweli sijaiona kabisa kabisa. Zaidi ya kusimika viongozi wajaza matumbo yao. Wananchi wanashida wamejaa magonjwa yasiyoelezeka ambayo serikali ingeweza kabisa kuwatibu.leo raia wema hichohicho kiduchu wanachangishana kuwapatia huduma za afya.

Kuna YouTube channel zinaumbuwa serikali zetu ,ukiangalia wananchi wanatia huruma kabisa kabisa,inaonyesha wazi kabisa kiundani uongozi na serikali haziwajali wananchi .

Ni bora ili kujipapatua Serikali itangaze matibabu bure kwa waTanzania wote,kama haina dawa japo vipimo viwe vya bure.

Zanzibar ilikuwa na elimu bure yenye tija nzuri kabisa ,halikadhalika hospitali ilikuwa bure lakini leo ndani ya Muungano kila kitu kimevurugika. Bora ya jana.
Nadhani hujaileta hii kwa nia njema.
Hadi nafasi zisizo za muungano wamepewa wazanzibari, umeme sidhani kama deni limeshalipwa. Jiondieni tu
 
Back
Top Bottom