Kama sheria za ukamataji na madai zikizingatiwa hatuna chetu kwa Bombadia

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,751
IMG-20170823-WA0028.jpg
imethibitika kwamba ndege yetu ya kibiashara inashikiliwa nchini Canada kutokana na kesi ya madai ya fidia iliyoshinda kampuni moja ya huko dhidi ya serikali ya Tanzania.... Vyovyote vile iwavyo INAUMA.... Na inawezekana kabisa kuna juhudi zinafanyika kuweza kuokoa jahazi
Wote tunajua maumivu ya kukamatiwa mali hasa na serikali ama taasisi baada ya kushindwa kulipa deni ama madai fulani... Tunawajua madadali wetu maarufu kina MAJEMBE na YONO...
Mali yako inapokamatwa ngarama zifuatazo zitahusika
-Deni halisi unalodaiwa
-Faini yake
-Riba yake
-Gharama za ukamati
-Gharama za uhifadhi
-Gharama za utaifishaji(kuuza mali husika kufidia deni)
Kama sheria zikifuatwa hata kwenye muda, bado nina mashaka, tunaweza kupoteza bombadia yetu(ni yetu kwakuwa imenunuliwa kwa kodi zetu wananchi) sio ya serikali
Nina hakika baada ya kukamatwa huko ughaibuni tuliletewa notice ya madai yenye mchanganuo wa gharama zote pamoja na masharti na muda wa kulipa.... Na kwa vyovyote kuna sentence inasema.... FAILURE TO DO THAT AT GIVEN TIME......!
Vema serikali ikaweka siasa kando na kuanza kutafuta mchawi.. Tunahitaji weledi, hekima, tafakuri, ukweli na diplomasia kuweza kuokoa mali yetu hiyo!
Tusishupaze shingo... TUTAPOTEZA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 573628imethibitika kwamba ndege yetu ya kibiashara inashikiliwa nchini Canada kutokana na kesi ya madai ya fidia iliyoshinda kampuni moja ya huko dhidi ya serikali ya Tanzania.... Vyovyote vile iwavyo INAUMA.... Na inawezekana kabisa kuna juhudi zinafanyika kuweza kuokoa jahazi
Wote tunajua maumivu ya kukamatiwa mali hasa na serikali ama taasisi baada ya kushindwa kulipa deni ama madai fulani... Tunawajua madadali wetu maarufu kina MAJEMBE na YONO...
Mali yako inapokamatwa ngarama zifuatazo zitahusika
-Deni halisi unalodaiwa
-Faini yake
-Riba yake
-Gharama za ukamati
-Gharama za uhifadhi
-Gharama za utaifishaji(kuuza mali husika kufidia deni)
Kama sheria zikifuatwa hata kwenye muda, bado nina mashaka, tunaweza kupoteza bombadia yetu(ni yetu kwakuwa imenunuliwa kwa kodi zetu wananchi) sio ya serikali
Nina hakika baada ya kukamatwa huko ughaibuni tuliletewa notice ya madai yenye mchanganuo wa gharama zote pamoja na masharti na muda wa kulipa.... Na kwa vyovyote kuna sentence inasema.... FAILURE TO DO THAT AT GIVEN TIME......!
Vema serikali ikaweka siasa kando na kuanza kutafuta mchawi.. Tunahitaji weledi, hekima, tafakuri, ukweli na diplomasia kuweza kuokoa mali yetu hiyo!
Tusishupaze shingo... TUTAPOTEZA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakagua kwa tundu Lissu watapata hela za kulipa
 
Tuangalie kwanza ununuaji huo ulipitishwa na bunge la ngapi au ni kamchezo tu kalitumika kuondosha pesa za serikali zilipe madeni yasiyolipika kwa mgongo huo wa kukamatwa... hadi sasa mimi naona ni aina ya upigaji pesa ule ule kama wa Serikali zilizopita no changes yeyote
 
Ukisikia hewa ndio aina hii.. tumesikia ndege imenunuliwa hatujawahi iona tumeambiwa imekamatwa kwa deni hewa hatukuwahi lisikia so mwendelezo wa hewa tu huu.
 
Hii serikali itabidi tuwe nao makini sana hasahasa upande wa deni la taifa

Tunatakiwa tuwe tunaambiwa deni la taifa ni shs ngapi kila mwaka likiwa na mchanganuo wa kama tumekopa, riba, tumelipa kiasi gani, kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu na mengine mengi

Siyo tunabebeshwa tu mbuzi kwenye gunia kwa uzembe wa watu wachache
 
mshana jr hii gari iliyopata ajali ilikuwa imekatiwa bima ipi?
Bima kubwa (comprehensive)
Au ilikuwa bima ndogo (Third-party)

Kama jibu ni ndio, je bima ilikuwa hai kipindi ajali (ya kukamatwa) inatokea?

Kama na hapo jibu ni ndio basi tunalo sikitiko kwa pamoja na bima.
 
Hapa pana siri nzito sana hasa ukizingatia msemaji wa serikali anavyokazana kufunika kombe akishirikiana na polisi kumkamata aliyeitoboa siri. Najiuliza, ni kwanini waziri wa mambo ya nje alikwenda Canada kiuficho na aliyoyakuta huko hakutaka wananchi wayajue?
Ni kwanini pia deni la kampuni hiyo liwe siri?
Kwangu mimi nauona ufisadi wa kiwango cha escrow n a epa kwani wezi wenye mbinu zile bado wapo nje na wanaendelea kuvizia loophole nyingine watubamize tena na hawa waficha siri watatuambia fedha zile sio za serikali!
 
Hii serikali itabidi tuwe nao makini sana hasahasa upande wa deni la taifa

Tunatakiwa tuwe tunaambiwa deni la taifa ni shs ngapi kila mwaka likiwa na mchanganuo wa kama tumekopa, riba, tumelipa kiasi gani, kuvunja mikataba bila kufuata utaratibu na mengine mengi

Siyo tunabebeshwa tu mbuzi kwenye gunia kwa uzembe wa watu wachache
Kuna mambo ilipaswa kuamuliwa na bunge kwa kufuata katiba sheria na kanuni..... Lakini naona hilo ni kama halizingatiwi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mshana jr hii gari iliyopata ajali ilikuwa imekatiwa bima ipi?
Bima kubwa (comprehensive)
Au ilikuwa bima ndogo (Third-party)

Kama jibu ni ndio, je bima ilikuwa hai kipindi ajali (ya kukamatwa) inatokea?

Kama na hapo jibu ni ndio basi tunalo sikitiko kwa pamoja na bima.
jogi bima haihusiki na mali ya rehani au ambayo unadaiwa na taasisi.....
Between inategemea policy yako inasemaje kwenye hilo... Kwasasa siamini kama hii gari yetu tutaambulia chochote hata kama tulikuwa na comprehensive

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jogi bima haihusiki na mali ya rehani au ambayo unadaiwa na taasisi.....
Between inategemea policy yako inasemaje kwenye hilo... Kwasasa siamini kama hii gari yetu tutaambulia chochote hata kama tulikuwa na comprehensive

Sent using Jamii Forums mobile app
==Tuende mbele zaidi kifikra==
Kuliendesha gari bila kukata bima (maana naamini halina bima kabisaaa! Tulijidai kukwepa wadeni wa ATC)
Si tumuulize basi dereva kama naye ana leseni halali iliyompa ujasiri wa kuendesha gari letu hata limekumbana na ajali ya kukamatwa. Hofu inazidi dereva anapotengeneza mazingira ya kufichaficha wenye gari tusijue nini kimelikuta gari letu jipyaaaa!

Tufanyeje tukikuta hakuwa licensed kuendesha pindi anadabuliwa na umwera?
 
==Tuende mbele zaidi kifikra==
Kuliendesha gari bila kukata bima (maana naamini halina bima kabisaaa! Tulijidai kukwepa wadeni wa ATC)
Si tumuulize basi dereva kama naye ana leseni halali iliyompa ujasiri wa kuendesha gari letu hata limekumbana na ajali ya kukamatwa. Hofu inazidi dereva anapotengeneza mazingira ya kufichaficha wenye gari tusijue nini kimelikuta gari letu jipyaaaa!

Tufanyeje tukikuta hakuwa licensed kuendesha pindi anadabuliwa na umwera?
Tukiamua kufyeka hili chaka usije kushangaa hata kunguni na vitobero wakatoka humo! Ngoja kwanza tulizunguke tu hili chaka tusiliingie kwanza
Cha kufanya tumwage upu.pu na mafuta taa kisha tukae kando tushuhudie maajabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom