Mbunge anawajibika kwa
wapiga kura wake,
chama chake,
nchi yake..
Je,kwa hali ya bunge sasa,kama ingekuepo sheria ya wapiga kura kumwajibisha mbunge wao hadi sasa nani angekua amewajibishwa na nani angebaki kua chaguo sahihi la wapiga kura wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.