King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,779
hata aking'oka haitatosha. mie natamani ingefanyika ufilisi kama ule wa enzi za nyerere. kila kitu kichukuliwe tuanze upya!
Hamjafahamu mwita25 anatumia lugha ya tafsida. Anyway, tunasubiri maandamano ya nchi nzima, safari hii hadi JK ANG'OKE kama hatoshtuka mapema.