Fullfigadiva J
Member
- Sep 29, 2011
- 92
- 18
Hongera CDM tunahitaji uzalendo kama muliuonyesha leo kwa kueleza Fedha ya watanzania isilipe mafisadi. Tuuze kampuni zao na mijumba yao iliyojaa mji mzima tuwalipe Dowans.
KATIBA.. KATIBA JAMANI KATIBAAAAAAAAAAAAA... 2015 HIYOO IMENUKIA TUTAIVAA BILA KATIBA MPYA HIVI-HIVI. Mambo ya Dowans hayo kwa wananchi wa kawaida hayana saaana mvuto, mwananchi anajua hata kama huyo jini dowans hatalipwa bado jini magamba atazitafuna hizo hela, mambo ya umeme, sukari, mishahara na kupanda kwa gharama za maisha ndiyo yenye mvuto.. Graduate anaajiriwa serikalini kwa mshahara wa 320,000 kwa mwezi? kwa maisha haya? ila mwanawane yupo tu maskini ya mungu, wala hana wa kumtetea.. sasa huyu akipata nafasi ya kuwa GAMBA kwanini asinyonge badala ya kuchinja? bado hatujasema walimu ambao mbali na kamshahara ka 120,000 bado ana mkopo kwenye benki mbili tatu na last kwa mwezi anapokea take-home 15,000 mwanawane wa watu.. Do TZ?
Tamko hilo limetolewa na ndugu John Mnyika
Amesema cdm inaitaka serikali kutoa tamko la kutolipa pesa hiyo ndani ya siku 30 zaidi ya hapo yataitishwa maandamano ya nchi nzima!
Kama wewe unavyoropoka au unatumiwa na Magamba bila kujijuaunamaanisha unachosema?. Wengine wanaropoka tu.
Nani wa kuingia mtaani?
Hayo ni maneno tu.
CDM wanafanya maandamano kupiga maamuzi ya mahakama ya kimataifa au maandamano ni nini?
Ndio, sasa wewe unataka nini? tutapinga tu kwani hio makahaba au mahakama ya kimataifa si inaongozwa na watu pia?
Hapa dawa na watanzania wote tuingie barabarani tu
si suala la kuwaachia chadema pekee yao
tunaoathirika ni sote
Ikiwa hili ndiyo suluhisho basi linahitaji uratibu wa hali ya juu maana shaka yangu polisi inaweza kutumia nguvu nyingi sana ili kulinda maslahi ya serikali.Katika mazingira ambapo mafisadi,serik ali,vyombo vya dola,mahakama,Rais ni kitu kimoja ambapo wako kwa ajili ya kulinda masilahi yao na familia zao the only solution NGUVU YA UMMA MAANDAMAMANO.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hakuna kulala mpaka kieleweke upo nyuma ya Laptop? Ingia barabarani ukapambane na FFU