William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Serikali haiwezi kufanya biashara. Hasa hizi za kwetu.
Kama Waziri Mkuu anaona madudu kwenye mradi wa mwendokasi.
Kama Serikali imeshindwa kufanya miradi ya reli ya Kati na TAZARA, vivuko, ndege na sasa Mabasi ya mwendokasi kujiendesha ni wakati wa kubadili mtazamo.
Wajiondoe waruhusu sekta binafsi iviendeshe yenyewe ichukue Kodi na idili na kutoa huduma kwa wananchi.
Kama Waziri Mkuu anaona madudu kwenye mradi wa mwendokasi.
Kama Serikali imeshindwa kufanya miradi ya reli ya Kati na TAZARA, vivuko, ndege na sasa Mabasi ya mwendokasi kujiendesha ni wakati wa kubadili mtazamo.
Wajiondoe waruhusu sekta binafsi iviendeshe yenyewe ichukue Kodi na idili na kutoa huduma kwa wananchi.