JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,991
- 1,193
Ukiona watu kama GWAKISA bado wako ofisini ndio maana Kuna wakati unaona wazi KABISA CCM kweli imeshindwa kuongoza hv kweli serikali makini inaweza kuwa inatembea na mla Rushwa?
Hivi mtumishi asiye na MAADILI, adabu wala nidhamu ni wa kutumikia umma wa watanzania? Huyo bwana Gwakisa tumesikia alikuwa Manispaa ya Sumbawanga akafanya upumbavu wake pale Sumbawanga Rushwa na kila aina ya ujinga akahamishiwa Muheza Tanga na kwa tabia ya CCM huyu eti bado ni mtumishi mzuri, watu kama hawa wenye rekodi chafu ilipendeza sana kuwafyekelea mbali ili kuisafisha serikali.
Nchi kwa sasa ina wasomi wengi halafu eti inaendelea kufuga wapumbavu maofisini hii haikubaliki hata kidogo.
Hivi mtumishi asiye na MAADILI, adabu wala nidhamu ni wa kutumikia umma wa watanzania? Huyo bwana Gwakisa tumesikia alikuwa Manispaa ya Sumbawanga akafanya upumbavu wake pale Sumbawanga Rushwa na kila aina ya ujinga akahamishiwa Muheza Tanga na kwa tabia ya CCM huyu eti bado ni mtumishi mzuri, watu kama hawa wenye rekodi chafu ilipendeza sana kuwafyekelea mbali ili kuisafisha serikali.
Nchi kwa sasa ina wasomi wengi halafu eti inaendelea kufuga wapumbavu maofisini hii haikubaliki hata kidogo.