Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 475
Jamani wapendwa ndugu zangu wana jf napenda kuwasalimu habari zenu . Watanzania wenzangu, ndungu zangu nimesikitishwa sana na serikali yetu kitendo cha kukaa kimya bila kutatua swala la madactari ili warudi kazini wakatibu ndungu zetu. mpaka sasa mimi nahesabu sina serikali, leo nilikuwa mwaisela pale muhimbi siyo mchezo wagonjwa wanazidi kufa ambao ni ndungu zetu, wazazi wetu, dada zetu, kaka zetu, shangazi zetu, watanzania wenzetu .Serikali nini? Serikari iko wapi? Je serikali ni watu? Na kama ni watu waina gani? Siyo siri hapa wanaweza wasiwe watu , nahisi tunaongozwa na mashatani! Yanafurahia watu wanapokufa . Roho inaniuma sana ! Wewe uneyeunga serikari mkono your greater evil