ROMUARD KYARUZI
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 683
- 464
Tume iliyopo sio huru kwa kuwa inateuliwa na kada wa chama kimoja kwa mujibu wa katiba iliyopo ambayo haijarekebishwa iandane na mfumo wa vyama vingi.
Yap hiii ndo solution mengine porojoYani mimi ni mpinzani kabisa lakini nasikitika kuona kuwa walio na uwezo wakutamka kuwa tunaenda barabarani kuidai tume huru kuanzia kesho wako kimya
Wanasubiria kubambikiziwa kesi tu
Nashauri waliamshe dude ili mkuu akitaka kupiga risasi apige watakaobaki wabaki ili kizazi kijacho kinufaike na uhuru wa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafahamu ukweli kuwa Tume ikiwa huru, October 28, saa 2 asbh wanageuka chama cha upinzaniNyinyi maccm ndiyo kila kukicha mnasema kuwa upinzani nchini imejifia wenyewe.......
Sasa ni kwanini mnashikwa na "mchecheto" wa kupeleka muswada Bungeni wa uundwaji wa Tume huru ya uchaguzi?
Kwa kuwa Bunge saivi halipo, toeni hoja zinazotekelezeka. Tufanye nini kwa muda uliobaki kupata Tume huru?Inatakiwa wapeleke ittupwe, kisha kwenye bunge la ukweli ambao ni wananchi ipigwe kelele kama yote. Kwa hili wapinzani wanachemsha.
Nia ni kuona kura za wananchi zinaheshimiwa. Tume ikiwa huru wananchi kwa hiari yao wakachagua ccm, hakuna shida. Ila kwa sasa, wapiga kura wakichagua X, Tume inatangaza Y kuwa mshindiUnahitaji maendeleo au nia yako ni kuona Chadema inatawala.
Kwa kuwa Bunge saivi halipo, toeni hoja zinazotekelezeka. Tufanye nini kwa muda uliobaki kupata Tume huru?
Watawala wanajua kukiwa na Tume huru hawatapata kura za kutosha kuwarejea madarakani. So, ni jukumu la wapinzani na umma kwa ujumla kutafuta namna ya serikali kulazimika kufanya hivyo kwa SHURUTI