Watanzania tunalipa kodi kibao cha ajabu hatujui hizo pesa zinakokwenda, yaani ni Kama vile Kuna kikundi cha viongozi hukaa na kujigawia, Wakati wa utawala wa Nyerere Serikali ilikuwa na Mapato kidogo sana yaliyotokana na Faida ya viwanda vyetu
Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza
Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.
Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,
Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,
Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.
Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,
Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.
Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza
Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.
Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,
Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,
Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.
Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,
Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.