Kama serikali imefilisika si bora kuwaweka wananchi wazi?

Major

JF-Expert Member
Dec 20, 2007
1,865
2,439
Watanzania tunalipa kodi kibao cha ajabu hatujui hizo pesa zinakokwenda, yaani ni Kama vile Kuna kikundi cha viongozi hukaa na kujigawia, Wakati wa utawala wa Nyerere Serikali ilikuwa na Mapato kidogo sana yaliyotokana na Faida ya viwanda vyetu

Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza

Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.

Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,

Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,

Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.

Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,

Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.
 
Mkuu Asante kwa uzi wako.

Kwa ufupi serikali hii ya awamu ya 5 IMEFILISIKA.
Hili wala sio la kupepesa macho tena..

Serikali imefilisika completely na it's high time ilo lazima walikubali hivi sasa.

Yale ma trilioni ya kila mwezi tunayotangaziwa kila mwezi ni UONGO MTUPU.

Mnaweza vipi kila mwezi kukusanya trilions halafu juzi mnakopa 360Bil from ADB???

Serikali mufilisi hii kwa sasa.
 
Watanzania tunalipa kodi kibao cha ajabu hatujui hizo pesa zinakokwenda, yaani ni Kama vile Kuna kikundi cha viongozi hukaa na kujigawia, Wakati wa utawala wa Nyerere Serikali ilikuwa na Mapato kidogo sana yaliyotokana na Faida ya viwanda vyetu

Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza

Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.

Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,

Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,

Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.

Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,

Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.
Serikaliiiii hiii iseme imefilisika!!!!???? ata kama kibubu kiwe hakina senti sizonje atasema kimejaa pomoniiii
 
Gharama za kukusanya pesa zaweza kuwa kubwa na hivyo kuishia kuwa na maandishi yenye tarakimu kubwa lakini mwisho wa siku kilichopatikana kidogo.
Mikataba mibovu siyo ya madini na gas tu, hata hii midogo midogo ya kukusanya mapato yaweza kukosa ufanisi. (Matatizo makubwa ni matokeo ya yale madogo madogo).
 
Unataka watu waache kazi ? Hivi kwa mfano uwaambie polisi kwamba serikali imefilisika si watajazana KK SECURITY , maana 98% hawana ujuzi mwingine .
Mkuu swali langu ni Serikali inapeleka wapi pesa zote hizo, au wakishakusanya huwa wanagawana? Mbona hatuoni lolote Jipya?, kila Siku tumekuwa omba omba, hali za wananchi kila kukicha bora ya jana
 
Serikali imefilisika Huku boom awamu ya pili tayari kwa wanachuo na mishahara kwa watumishi wa serikali imeshatoka
 
Watanzania tunalipa kodi kibao cha ajabu hatujui hizo pesa zinakokwenda, yaani ni Kama vile Kuna kikundi cha viongozi hukaa na kujigawia, Wakati wa utawala wa Nyerere Serikali ilikuwa na Mapato kidogo sana yaliyotokana na Faida ya viwanda vyetu

Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza

Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.

Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,

Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,

Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.

Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,

Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.
kiukweli hata mimi sielewi.
 
Gharama za kukusanya pesa zaweza kuwa kubwa na hivyo kuishia kuwa na maandishi yenye tarakimu kubwa lakini mwisho wa siku kilichopatikana kidogo.
Mikataba mibovu siyo ya madini na gas tu, hata hii midogo midogo ya kukusanya mapato yaweza kukosa ufanisi. (Matatizo makubwa ni matokeo ya yale madogo madogo).
Mkuu, ebu Fikiri tu, kila simu inayopigwa Serikali inachukuwa kodi, hata hizi trillion moja wanasema wamekusanya mm naona ni uongo, ilitakiwa iwe zaidi ya trillion 3 kwa Mwezi. Sasa Mbona tunazidi kuwa omba omba?
 
Mkuu Asante kwa uzi wako.

Kwa ufupi serikali hii ya awamu ya 5 IMEFILISIKA.
Hili wala sio la kupepesa macho tena..

Serikali imefilisika completely na it's high time ilo lazima walikubali hivi sasa.

Yale ma trilioni ya kila mwezi tunayotangaziwa kila mwezi ni UONGO MTUPU.

Mnaweza vipi kila mwezi kukusanya trilions halafu juzi mnakopa 360Bil from ADB???

Serikali mufilisi hii kwa sasa.
Mkuu kwa hiyo kuna haja ya kujumlisha mapato yote ya TRA yanayotangazwa kila mwezi toka waanze kutangaza ili tupate hesabu kamili, alafu tuje tuangalie matumizi ili tupate balansi.
 
Watanzania tunalipa kodi kibao cha ajabu hatujui hizo pesa zinakokwenda, yaani ni Kama vile Kuna kikundi cha viongozi hukaa na kujigawia, Wakati wa utawala wa Nyerere Serikali ilikuwa na Mapato kidogo sana yaliyotokana na Faida ya viwanda vyetu

Wakati wa Nyerere hakukuwa na mitandao ya simu za mikononi wala vocha, hakukuwa na magari mengi na kwa hiyo ushuru uliotokana na mafuta na magari ulikuwa ni kidogo sana, bandari haikuwa na mizigo mingi Kama sasa kwa kifupi mambo mengi yalikuwa ndiyo yanaanza

Lakini Nyerere alisomesha bure, hospitali bure madawa bure, huduma nyingi za kijamii ilikuwa ni bure, Mungu amrehemu.

Tofauti na sasa, ukipiga hesabu ya ushuru tu ya magari yote hapa ambapo kila mwaka kila gari linalipa average ya laki nne litembee au lisitembee, ushuru wa mafuta yanayotumika kila Siku ni fedha nyingi mno, ushuru ktk muda wa maongezi kwa Siku ni fedha nyingi mno, VAT inayolipwa serikali ni fedha nyingi mno,

Pesa ya mauzo ya gesi yetu ni nyingi mno, Mirabaha ya madini ni fedha nyingi mno, pesa za watalii ni nyingi mno, fedha ya maliasili, mbao ngozi ushuru wa wanyama, ushuru wa mazao.ni nyingi mno,

Nataka kujua, hizi pesa zote huwa zinakwenda wapi ikiwa, maafa kidogo tu yakitokea serikali inaanza kutembeza bakuli Kama matonya, kila Siku tunaona ktk tv. Wagonjwa wakiomba msaada wa matibabu kutoka kwa hao hao walipa kodi. Kila Siku tu nasikia Mapesa kibao ya misaada toka Ulaya America China India, na mamikopo kila uchao, kutoka mabenki ya Africa na World bank.

Serikali ebu acheni Masihara tuambieni hizi pesa zote Zimekwenda wapi?. Hospitali siyo bure tena, kwa kifupi huduma zote za jamiii ni ghali Sana,

Kama mmefilisika tuambieni, lakini hatutaki tudharaulike na nchi Majirani kwa ajili yenu!.

Serikali haiwezi kufilisika, kinachoweza kutokea ni kushuka au kupanda kwa mapato.
 
Back
Top Bottom