- Thread starter
- #21
Kikwete alikusanya wastani wa bilion 650 kwa mwezi, aliweza kulipa wafanyakazi hewa wote wanafunzi vilaza wote walipewa mikopo, watu walipiga Dili kama kawaida, lakini pesa ilionekana kwa kila mfuko wa mtu, ilitawanyika kila mahali. Biashara zilishamiri kila kona ya Nchi hii, Barabara zilijengwa kila mahali,
Sasa hivi hakuna wafanyakazi hewa, wanafunzi vilaza wote wamerudi nyumbani, makusanyo wamesema ni mara mbili, sasa tunajiuliza, ziko wapi? Mbona hatuoni lolote?. Kuna tatizo gani huko juu?. Ni uchoyo au ni Roho mbaya, au hakuna kabisa?
Sasa hivi hakuna wafanyakazi hewa, wanafunzi vilaza wote wamerudi nyumbani, makusanyo wamesema ni mara mbili, sasa tunajiuliza, ziko wapi? Mbona hatuoni lolote?. Kuna tatizo gani huko juu?. Ni uchoyo au ni Roho mbaya, au hakuna kabisa?