Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Maoni tu, tuacheni politics we need Rwanda kiuchumi... Huuu mtaifa wetu jamani hatujajifunza na siasa zetu za ukombozi wa kusini mwa Afrika ambao haukuwa na tija na wananchi wa kawaida. Rwanda tuko pamoja sasa uchumi tu vi2 vingine havina nafasi. Tujenge reli....