busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,332
nakumbuka Lisu na Msigwe walikuwa tayari wameshaazira ikaundwa kamati ya kwenda kuwatukiza kwa 150ml kila mmoja na wao aibu ikawatoka nao wakaanza kuzungusha mikono ila mnyika alitosa na dk silaa akashikilia msimamo wake mpaka mwisho