Sasa kama kweli haya 'madudu' yanayofanywa na watendaji wa Rais, hayana blessings za Mkulu ni kwa nini hawatumbui?Mimi ni mwana CCM ninayejitambua na ninayeitakia mema nchi yangu.I understand your concern brother na nadhani viongozi wetu wajuu chamani watalielewa hili na kulifanyia kazi. Kwa bahati nzuri Rais wetu analielewa hili vizuri sana.Wenye shida mimi naona ni hawa viongozi wetu wana Chama wa ngazi za chini.Ila point taken brother. Hii confrontational behavior haitatusaidia sana kwenye maendeleo yetu,ni lazima ikomeshwe.
Mkuu nilikutana na wachaga mkoa flani wanalalamika kuwa awamu hii wanaonewa sana hasa baada ya mbowe kuharibiwa shamba lake, wamechukia sanaWasiwasi wangu ni kwamba awamu hii itazaa Kibiti nyingi sana
Rais ni binadamu kama mimi na wewe mkuu,at times he becomes infuriated. Tukubali kwamba wakati mwingine wapinzani wanaudhi sana,they become unnecessarily difficult!Sasa kama kweli haya 'madudu' yanayofanywa na watendaji wa Rais, hayana blessings za Mkulu ni kwa nini hawatumbui?
Hakuna asiyejua kuwa Rais wetu ni mwepesi sana wa kuwatumbua watendaji wake hata kwa 'vijikosa' vidogo sana.
Sasa swali la msingi ni kwa nini mathalani ameendelea kumkumbatia RC wa Dar, pamoja na madudu yote aliyofanya, pamoja na kufoji vyeti na kuvamia Clouds media na askari wenye silaha?
Hakuna sababu ya kuguess guess, ukweli ni kuwa pamoja na Magu kupenda kujinadi kuwa yeye ni Rais wa wote kwa maana ya wanaccm na wale wa upinzani, lakini practically anafanya vice versa, kwa kuwa anaonyesha wazi kuwa anawachukia sana viongozi wa vyama makini vya upinzani na kuwaona kama 'wahaini' ndani ya nchi yetu!
Refer tamko lake majuzi alipomsifu Spika Ndugai jinai anavyowatimua wabunge wa upinzani na kumhakikishia kuwa akishawatimua huko Bungeni na yeye huku uraiani atawashughulikia ipasavyo!
Ni ukweli usiopingika kuwa huu ufa anaoutengeneza Magu kwa kuligawa Taifa hili kwa misingi ya itikadi za siasa na ukanda, utakuja kuleta madhara makubwa sana siku za usoni.
Kwanini hakuwasiliana na mkuu wake ambaye ni mkurugenzi? Halafu sumaye alifuata nini?
Jamani tusiwe tunapotosha ukweli. Hivi ndivyo vurugu zinavyoanza nchini.Upinzani umekuwa too soft. The best way si kufa kikondoo. WaTz waandaliwe kisaikolojia kujitetea na kutetea viongozi wao pale haki inapovunjwa waziwazi.
Ule uonevu wa kule HAI kwenye bustani ya yule Mangi wa Cdm ni huruma. Yule jamaa hakupaswa kutoka salama hata kama angesindikizwa na vifaru. Upole wetu hautatuacha salama.
Naona sasa hivi kuna vikundi vya watu wanajifanya kuomba kiranja mkuu aongezewe muda. Hii janja ndo aliitumia best yake wa ile nchi ndogo hapo western ili aendelee kula mema ya jengo jeupe.
UKUTA umendoka na matumaini yote
kweli mkuu. Walibya walipewa karibu kila kitu na Gaddaffi lakini bado walimng'oa sababu tu ya uhuru wao kuminywa!Mimi hata mukiokoa MAKINIKIA,ulete BOMBADIER umkamate Sethi na Ruge halafu uninyime UHURU WA KUJIELEZA,yote uliyofanya ni UBATILI MTUPU.Nipe uhuru wa kujieleza kwani ni haki yaki yangu ya msingi kama binadamu na iko kwenye sheria pia.
Hapa unataka kutueleza kuwa haya mauaji ya mkoa wa Pwani yanafanywa na vyama vya upinzani (CDM, CUF, n.k.)?What goes around comes around. Angalia kibiti. Soon nchi nzima itakuwa hivyo kwa ajili ya ccm kujenga chuki. Angalieni sana msilaaniwe kwa kuleta vita nchi hii.
Huu nao ni upotofu wa ukweli. Qaddafi hakutolewa na Walibya bali alitolewa na multinationals waliotaka mafuta ya Libya. Angalia Walibya wenyewe wanavyoteseka sasa. Wanajuta kilichotokea.kweli mkuu. Walibya walipewa karibu kila kitu na Gaddaffi lakini bado walimng'oa sababu tu ya uhuru wao kuminywa!
Hamieni chama kubwa CCM kama mnaona shida.
Huu nao ni upotofu wa ukweli. Qaddafi hakutolewa na Walibya bali alitolewa na multinationals waliotaka mafuta ya Libya. Angalia Walibya wenyewe wanavyoteseka sasa. Wanajuta kilichotokea.
Ndio maana huko kibiti wanawatwanga risasi tu. Sometimes naona poa tuMstahiko meya asiyejua taratibu na kuzifuata?
Aelimishwe mara ngapi huku wana midomo michafu wakijidai wanapigania Uhuru? 48 hrs inawahusu hakuna namna mpk wanyooke.
Chuki na hujuma matokeo yake ndio hayo tunaona Kibiti. Sasa hawa wapiga raia na walemavu na wafunga wapinzani wameshindwa kudhibiti sehenu ndogo sana ya Kibiti - hii chuki ikiendelea ikazaa Kibiti nyingi zaidi watafanya nini?
Wanapasa kujiuliza sana. Kwa nini huko Kibiti ni watu wa CCM na Polisi tu wanauwawa? Soon or later kutakuwa na copy cats against serikali ya CCM, CCM wenyewe na polisi, sehemu nyingine zaidi ya Kibiti. It is just a matter of time wakiendelea hivi.
They must learn the hard way. Shauri yao. No sympathy there.
Ninavyoelewa Meya ni mkubwa kuliko Mkurugeni. Kwa hiyo ni kama kusema Raisi anapaswa kupata kibali cha Waziri Mkuu.Kwanini hakuwasiliana na mkuu wake ambaye ni mkurugenzi? Halafu sumaye alifuata nini?
Unajua huwezi kupewa tulia sindano ikuingie.