Umekatazwa wapi kujieleza mbona hapa unajieleza? Au unataka uruhusiwe kufunga SPK ikulu ujieleze?Mimi hata mukiokoa MAKINIKIA,ulete BOMBADIER umkamate Sethi na Ruge halafu uninyime UHURU WA KUJIELEZA,yote uliyofanya ni UBATILI MTUPU.Nipe uhuru wa kujieleza kwani ni haki yaki yangu ya msingi kama binadamu na iko kwenye sheria pia.