Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,549
- 25,584
Mkuu hiyo pesa ni nyingi mtu mmoja fanya mil 100 kwa hiyo 17 Billions wametibiwa watu wangapi? Hiyo si pesa ya kununua vifaa vya matibabu vya kisasa kabisa...Temeni mate chini, msikejeli kuumwa kwa wenzenu mnakosea. Siku ukipatwa na shida wakat mfukon iko buku 5 kule Daktar anakwambia Mgonjwa anatakiwa aende Apollo gharama mil 43 ndio utajua kwanin gharama zimefika hizo. Tuache ujuaji ktk kila kitu mwisho wa siku tunaumia wanyonge.