Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
CAG anatuambia kwamba gharama za matibabu ya nje ya nchi katika kipindi cha MIEZI SITA TU (30th june 2017 –Desemba 2017 ) zimeongezeka kutoka shilingi (Bilioni 28.6 mpaka shilingi Bilioni 45.7) Ndugu Rais ulisema kuwa katika kipindi cha UTAWALA wako matibabu nje ya nchi yatamalizwa kabisa/yatapunguzwa. Hata Mhe. Lissu mmegoma kumlipia MATIBABU mpaka SASA! CAG anatuonyesha kwamba umevunja rekodi kwa MATUMIZI!!
Sote tunajua hakuna anayetoka nje ya nchi ,kwa pesa ya serikali bila KIBALI CHA IKULU..’ndio maana tulimdharau na kumpuuza waziri wako aliposema…eti wanafanya ‘uhakiki’ kwa sababu wanahisi kuna watu walidanganya wanaenda kutibiwa moyo,lakini anakwenda kupandikizwa mimba sababu ya uzazi”
Je, kuna watu wanakwenda nje kutibiwa kimyakimya bila taarifa zao kuwekwa wazi? Kama wakati wa Kikwete Sh. Bilioni 2 kwa miezi 6 zilionekana nyingi, kwanini mwaka jana imetumika Bilioni 17.1 na serikali ya Magufuli ipo kimya?
Kama Bunge letu lingekuwa limeifanyia kazi ripoti ya CAG kwa kuibana Serikali ieleze ni kwanini gharama za matibabu nje ya nchi zimeongezeka maradufu, wakati idadi ya wanaoenda kutibiwa nje imepungua? Ni akina nani hao wanaotibiwa kimyakimya kwa mabilioni ya kodi zetu?
Haiwezekani Sh. Bilioni 2 kwa miezi 6 wakati wa Kikwete ionekane yalikuwa matumizi mabaya ya pesa, halafu Sh. Bilioni 17.1 kwa miezi 6 kipindi cha Magufuli ionekane ni kawaida tu!
Soma pia
Sote tunajua hakuna anayetoka nje ya nchi ,kwa pesa ya serikali bila KIBALI CHA IKULU..’ndio maana tulimdharau na kumpuuza waziri wako aliposema…eti wanafanya ‘uhakiki’ kwa sababu wanahisi kuna watu walidanganya wanaenda kutibiwa moyo,lakini anakwenda kupandikizwa mimba sababu ya uzazi”
Je, kuna watu wanakwenda nje kutibiwa kimyakimya bila taarifa zao kuwekwa wazi? Kama wakati wa Kikwete Sh. Bilioni 2 kwa miezi 6 zilionekana nyingi, kwanini mwaka jana imetumika Bilioni 17.1 na serikali ya Magufuli ipo kimya?
Kama Bunge letu lingekuwa limeifanyia kazi ripoti ya CAG kwa kuibana Serikali ieleze ni kwanini gharama za matibabu nje ya nchi zimeongezeka maradufu, wakati idadi ya wanaoenda kutibiwa nje imepungua? Ni akina nani hao wanaotibiwa kimyakimya kwa mabilioni ya kodi zetu?
Haiwezekani Sh. Bilioni 2 kwa miezi 6 wakati wa Kikwete ionekane yalikuwa matumizi mabaya ya pesa, halafu Sh. Bilioni 17.1 kwa miezi 6 kipindi cha Magufuli ionekane ni kawaida tu!
Soma pia
Deni la matibabu ya vigogo nje ya nchi lapaa
Deni la matibabu ya nje kwa baadhi ya wananchi wakiwamo vigogo katika hospitali mbalimbali nchini India limeongezeka kutoka Sh17 bilioni mwaka 2013/2014 hadi kufikia Sh28 bilioni. Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) imebainisha ongezeko hilo katika kipindi cha mwaka...
www.jamiiforums.com