GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kuna moja hiyo nimeisikia na Kabambe sana ( japo nakataa Kuiamini nikijua TISS si Makatili na Wapuuzi ) hivyo nawatahadharisha wale Wenzangu na Mie Wapenda Kugombea Mbunye za Baa kuwa ukigundua tu unayegombea nae Mbunye ni wa Kitengo ( TISS ) mwachie tu hiyo Mbunye na tafuta nyingine kwani Ukizinguana nae akichomoa tu Mguu wa Kuku wake anaumwaga chini Ubongo wako Wote na hashtakiwi popote ( kutokana na Sheria mpya zilizopitishwa na Wauza Bandari Dodoma ) huku Wewe ukiyaanza Maisha yako mapya na Mchwa Udongoni.