'Kama PM hana anuani, ofisi na msemaji, mawaziri wote ni geresha???!!!

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Maamuzi ya Waziri Mkuu kutoka Ikulu, badala ya kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu. Kama PM hana anuani, ofisi na msemaji, mawaziri wote ni geresha???

tmp_1866-IMG_20170611_150111-1507105736.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii nayo inaacha maswali mengi sana. Pascal Mayalla naye aliulizia kuhusu hili. Iweje tamko la Majaliwa lionekane kama linatoka ofisi ya Rais?

Huyu DG wa EWURA ni mteule wa Rais. Rais yuko nchini imekuwaje ashindwe kumtumbua hadi shughuli hiyo ifanywe na Majaliwa? KULIKONI?

Maamuzi ya Waziri Mkuu kutoka Ikulu, badala ya kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu. Kama PM hana anuani, ofisi na msemaji, mawaziri wote ni geresha???.
 
Hii nayo inaacha maswali mengi sana. Pascal Mayalla naye aliulizia kuhusu hili. Iweje tamko la Majaliwa lionekane kama linatoka ofisi ya Rais?

Huyu DG wa EWURA ni mteule wa Rais. Rais yuko nchini imekuwaje ashindwe kumtumbua hadi shughuli hiyo ifanywe na Majaliwa? KULIKONI?
Maamuzi mengi yanafanyika kwa maelekezo inawezekana hata aliyemtumbua ni "mtukufu " barua ingetokana ofisi ya PM ingejulikana au kitengo cha PM ni geresha. Ndo maana PM hana msemaji wala anuani.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii nayo inaacha maswali mengi sana. Pascal Mayalla naye aliulizia kuhusu hili. Iweje tamko la Majaliwa lionekane kama linatoka ofisi ya Rais?

Huyu DG wa EWURA ni mteule wa Rais. Rais yuko nchini imekuwaje ashindwe kumtumbua hadi shughuli hiyo ifanywe na Majaliwa? KULIKONI?
Na rais yuko.mjini hapahapa. Iweje ampe PM atumbue. Hataki kuonekana kama yeye ndio.mtafuta Kiki
 
Kama huelewi, serikali yako tangia unazaliwa hadi leo wewe utakuwa ni "operation kimbunga" au vyeti feki ama incomplete certificates.

Naona hadi, GT/ST wa humu JF nao huu uzi wanashindwa na kuangukia pua.


Ni aibu na hasara, sana kwa jamii yetu na Taifa kwa ujumla, kama kuwaza kwenu wengi kumefikia hapo.

Hiyo barua haina tatizo jambo la muhimu sana na la maana ni aliyetoa amri juu chochote kitakachokuwa kimeandikwa Kama ameainishwa.
 
Pengine hata PM habari kaisoma kama sisi wala hajamtumbua mtu. ikulu imeona impe kiki kwa leo....hahahaha
 
Hakuna Shida Yoyote hapo Hugo DG wa ewura ni mteule wa raisi kwahiyo ili waziri mkuu aweze kumtumbua lazima taarifa ithibitishwe na Mh raisi hope umeelewa
 
Back
Top Bottom