GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,840
Kama PhD 17 za Benki Kuu ya Tanzania ( BOT ) zimeshindwa kusimamia Rasilimali na Uchumi wa nchi hii hadi kuliingiza Taifa katika hasara kubwa ya Matrilioni ya Shilingi je kuna haja ya Watu wengine waliobahatika kupita Vyuo Vikuu na kupata Degree, Masters na hizo hizo PhD zao kutamba, kujivunia na kujiita Wasomi?
Nitashukuru pia kama leo mtaweza kunipa maana halisi ya neno Msomi kwani Mimi binafsi kwa Mtazamo wangu tokea nchi ipate Uhuru hadi leo najaribu mno kutafuta tofauti ya Kimantiki kati ya Waliosoma na Wasiosoma lakini bado sijaiona na sana sana wote nawaona wako sawa tu.
Nawasilisha.
Nitashukuru pia kama leo mtaweza kunipa maana halisi ya neno Msomi kwani Mimi binafsi kwa Mtazamo wangu tokea nchi ipate Uhuru hadi leo najaribu mno kutafuta tofauti ya Kimantiki kati ya Waliosoma na Wasiosoma lakini bado sijaiona na sana sana wote nawaona wako sawa tu.
Nawasilisha.