flyingcrane
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 241
- 88
Watanzania wenzetu wanalia pesa zao zimetiwa mitini na viongozi wao, swali nililojiuliza ni je ingekuwa serikali ya Kenya iko makini kula dili na kuleta fedha hizo Kenya au kula dili viongozi wa Tanzania wawezeke fedha zao Nairobi tungekuwa wapi.
Jiji la nairobi linahitaji kuwezekwa kwa njia yoyote ile.
Jiji la nairobi linahitaji kuwezekwa kwa njia yoyote ile.