LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,124
- 11,113
Ukija kwenye Tasnia ya mziki wa Afrika Mashariki basi kati ya vijana ambao wanaimba ule mziki ambao ni wa viwango vya juu na hawatumii nguvu basi Marioo na Otile Brown wa Kenya hiyo sifa wanastahili majamaa wanaimba mziki mzuri sana ambao kwa kazi zao hii leo walitakiwa wawe matajiri wakubwa kama Burna Boy, Skiliza Dear Ex ya Marioo na nyimbo nyingine za Marioo, Skiliza Woman ya Otilie na Such kind of love na ile ya Chaguo langu la moyo majamaa wanaimba ule mziki wa viwango vya juu
Lakini ukija kwenye maendeleo ambayo wameyapata kutokana na kazi zao sijui kama hawa vijana mziki wao umewalipa ipasavyo kwa kweli na kama wanaimba mziki mkali kama huu na bado sio matajiri basi Diamond Platnumz apewe tuzo ya heshima kwa kweli maana amegeuza sanaa kuwa Utajiri , kijana ameweza kuifanya sanaaa kuwa utajiri na hilo ndio swala nalotaka wasanii wetu wafikie hapo
Vijana wetu wajitahidi kugeuza sanaa kuwaletea utajiri Hamna kitu kinachoniuma kama msanii kukaa kwenye gemu akitoa kazi kali alafu unamkuta kachoka kachakaa
Lakini ukija kwenye maendeleo ambayo wameyapata kutokana na kazi zao sijui kama hawa vijana mziki wao umewalipa ipasavyo kwa kweli na kama wanaimba mziki mkali kama huu na bado sio matajiri basi Diamond Platnumz apewe tuzo ya heshima kwa kweli maana amegeuza sanaa kuwa Utajiri , kijana ameweza kuifanya sanaaa kuwa utajiri na hilo ndio swala nalotaka wasanii wetu wafikie hapo
Vijana wetu wajitahidi kugeuza sanaa kuwaletea utajiri Hamna kitu kinachoniuma kama msanii kukaa kwenye gemu akitoa kazi kali alafu unamkuta kachoka kachakaa