nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Nimefurahishwa sana na kiongozi na Raisi wa Marekani wa USA kutumia basi;
Mfano kwenye maonyesho wabunge au kiongozi wa nchi akitumia basi ataokoa shillingi ngapi
Basi la OBAMA ni Ghali Mara dufu zaidi ya hiyo BMW ya KIKWETE; that's a
PRESIDENTIAL LIMO CUSTOM MADE Hauwezi kuilinganisha na Vigari Vyovyote
Duniani. Kwahiyo, Usimwambia Rais wetu aende akapande V-Coaster; Unaona
Hilo BUS lina Presidential SEAL; Is called BUS FORCE ONE; A sleek and even
sinister looking set of wheels with blacked out windows worth US$1.1-million.
Bullet Proof all the way...