Wakuu,kesho ni Sikukuu ya Wafanyakazi,bad enough walimu wa Sumbawanga Manispaa hawajapata Mshahara.Hii halmashauri cjui ina nini?Sijui kwa sababu iko mbali na Dar?Walimu huku wanalazimishwa kufungua akaunti za NMB,vingnevyo haupati mshahara!Hivi kuna mwalim huwa anafurahia kuwa Professional yake?Kulia kulia kulia mpaka Yesu arudi.NAIC NILIKOSEA NJIA KUWA MWALIMU