Kama ningekuwa Mh Pinda ningejiuzulu

Mi Naona Viongozi wa dini zote na Waumini waache kumwombea kwa huyu Rais. Kwenye Nyumba za Ibada utawasikia kuwa eti "Mungu umbariki Rais wetu na Serikali yake". Tusimwombee Kabisa huyu mtu. Tuombe ili afe haraka iwezekanavyo.[Ashadii]
 
Tatizo hapa ni ushirikiano hafifu kati ya ofisi ya rais na ya waziri mkuu. Huenda hawana maelewano au hawaaminiani kabisa.
 
Hata hivo Ngoshwe Mh anastahili kujiuzulu kwa ajili ya kushinda kufanya kazi ama sababu ya kutoa Kauli inayopinzana na matendo yake?

Sio kwa kushindwa kazi, bali kwa kuchezewa chezewa kila wakati kama hana maamuzi ya kiserikali,..(apime labda wenzie akiwemo yule aliemteua pengine hamwamini kwenye utendaji wake na ndio maana wanaweza kumvuruga kama vile alivyovurugwa na Luwanjo na Mkuu wa Nchi akakaa kimya tu asiseme lolote.
 
Sio kwa kushindwa kazi, bali kwa kuchezewa chezewa kila wakati kama hana maamuzi ya kiserikali,..(apime labda wenzie akiwemo yule aliemteua pengine hamwamini kwenye utendaji wake na ndio maana wanaweza kumvuruga kama vile alivyovurugwa na Luwanjo na Mkuu wa Nchi akakaa kimya tu asiseme lolote.


Unadhani Mh. Pinda ni Kiongozi wa type ya kujali anafikiriwa nini? Amewehuka na yale yote ambayo yanaambatana na kua Kiongozi for him to care. Anajua nini anakipata pale na maisha anayo ishi. Naona Uongozi pale ni Secondary to hasa kile ambacho anakipata tokana na hicho cheo. Kama viongozi walo chin yao kuwaamuru kustaafu inakua ni kazi kubwa sembuse yeye mwenyewe? Siamini kua hana akili kiasi hicho cha kuweza kuona kua Wananchi na viongozi wenzake wote wamepoteza Imani dhidi yake.
 
Unadhani Mh. Pinda ni Kiongozi wa type ya kujali anafikiriwa nini? Amewehuka na yale yote ambayo yanaambatana na kua Kiongozi for him to care. Anajua nini anakipata pale na maisha anayo ishi. Naona Uongozi pale ni Secondary to hasa kile ambacho anakipata tokana na hicho cheo. Kama viongozi walo chin yao kuwaamuru kustaafu inakua ni kazi kubwa sembuse yeye mwenyewe? Siamini kua hana akili kiasi hicho cha kuweza kuona kua Wananchi na viongozi wenzake wote wamepoteza Imani dhidi yake.

Tulidhani kwa taaluma yake kama Mwanasheria siasa zisingemshambulia ashindwe kuelewa nini anafanyiwa au nini anapaswa kufanya, katika kipindi chake chote imeonekana kama hawezi hiyo nafasi labda alichukuliwa kwa upole wake tu ili aburuzwe. Maeneo mengi yamepwaya na hata ile mipango ya maendeleo imeshindwa kutekelezwa kabisa hakuna KILIMO KWANZA wala Mpango wa ELIMu ya SHule za Sekondari na Msingi; Hakuna Mkakati wa Kufufua Zahanati wala kuinua pato la wakulima na Wafugaji. Yote ni Zero Zero..sasa tunaambiwa karibia asilimia 69 ya bajeti ya Serikali iliyopitishwa bna Bunge kwa aajili ya kuwaletea maendeleoa wananchi imekatwa Hazina kwa ajili ya kusaidia Shughuli za Chaguzi Ndogo na za Wabunge wakati watanzania wanakufa, maisha magumu na uchumi unayumba.

Fedha kibao zilitumika katika Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru na hakuna manufaa yeyote tuliyoyaona zaidi ya kuzawadiana nishani tu wakubwa na kutonnyesha vifaa vya zamani vya kivita.
 
Mkuu huenda mpango aliokuwa nao PM ni kusubiri wagome kisha wakutane na Rais!! Unabisha wakati baada ya kuangalia athari za mgomo madaktari wamekutana na Rais; kuna mpango gani tofauti na huo?
 
Sijawahi soma /sikia serikali yenye kutokujua maamuzi inayofanya kama hii ya JK ...Pinda hana tofauti na vilaza wengine kwenye serikali ya Jk.
 
Nafikiri,tuendelee kumtambua kwa stahili hii.
Waziri mkuu kivuli wa kwanza,
sababu ,hana maamuzi juu ya serikali anayoongoza na si mshahuri wa Rais kama wote tunavyodhania.
 
Tulidhani kwa taaluma yake kama Mwanasheria siasa zisingemshambulia ashindwe kuelewa nini anafanyiwa au nini anapaswa kufanya, katika kipindi chake chote imeonekana kama hawezi hiyo nafasi labda alichukuliwa kwa upole wake tu ili aburuzwe. Maeneo mengi yamepwaya na hata ile mipango ya maendeleo imeshindwa kutekelezwa kabisa hakuna KILIMO KWANZA wala Mpango wa ELIMu ya SHule za Sekondari na Msingi; Hakuna Mkakati wa Kufufua Zahanati wala kuinua pato la wakulima na Wafugaji. Yote ni Zero Zero..sasa tunaambiwa karibia asilimia 69 ya bajeti ya Serikali iliyopitishwa bna Bunge kwa aajili ya kuwaletea maendeleoa wananchi imekatwa Hazina kwa ajili ya kusaidia Shughuli za Chaguzi Ndogo na za Wabunge wakati watanzania wanakufa, maisha magumu na uchumi unayumba.

Fedha kibao zilitumika katika Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru na hakuna manufaa yeyote tuliyoyaona zaidi ya kuzawadiana nishani tu wakubwa na kutonnyesha vifaa vya zamani vya kivita.


Kwa post yako hii nadhani ina maana ushaona kua tatizo sio tu Pinda kujiuzulu. Kumbuka kua hadi wananchi tumeweza observe hilo lazima hilo tatizo wanalo toka mda ndani ya System na narudia kusema kua Pinda sio mjinga not to have noticed. Hata hivo Siamini kua eti hana nguvu au kua hawezi simamia lile ambalo anaamini hata kwa kiwango cha chini. Kilimo Kwanza was somehow his baby na hapo ndipo alipo kazana kusema yeye ni mtoto wa Mkulima.... Think Ngoshwe..... Kama kashindwa kusimamia huo Mradi ipasavo wa KILIMO KWANZA Acha hio ya Mpango wa Elimu... Kwa kiongozi mwenye machungu na nchi na wanachi na hata Sector ya Kilimo (hasa kama ni mtoto wa Mkulima); Hio ilikua ni tosha kabisa kwa yeye kujiuzulu.... On the Basics kua A]. Katambua kua Serkali na the whole system ni Wazushi. B]. Kile ambacho hasa kilikua Msingi kiweze fanikiwa ni wazi kua kisingeweza pamoja na maandalizi yoote. C]. Kagundua kua cheo chake ni kama Masquerading lakini sio U-waziri Mkuu na it's Crucial Related activities. Kama hakuweza Jiuzulu katika kushindwa na kukwamisha katika kile ambacho alionesha kwa Watanzania kua Anaamini.... Atajiuzulu leo hili la kauli kupishana? I doubt.

Kuhusu sherehe za kuazimisha Miaka 50 za Uhuru mimi naamini kuna Manufaa kabisa ya kusheherekea. Ila tokana na jinsi hali ilivo nchini ilitakiwa Viongozi watangaze kua Miaka hio Itasheherekewa kwa mtindo wa kuto spend kabisa maana nchi ina hali mbaya kifedha (Kitu ambacho kwa kweli they can not dare!)
 
Hapa Tanzania umezuka mtindo wa ajabu ambapo Kiongozi wa chini either anampuuza kwa maksudi Boss wake (insubordination) or kiongozi wa juu anampuuza/anapuuza maamuzi ya viongozi wake wa ngazi za chini. Haya tumeyashuhudai sana kwenye hii Serikali ya JK ambapo tunamsikia Pinda anaongea hili, kesho JK anapuuza kauli hiyo ya Pinda kwa Vitendo na kumwacha Pinda akikaa kimya bila kuchukua maamuzi, kimsingi Kujiudhuru. Tumemskia Manumba akisema hivi, Waziri anasema lile, mwisho wa siku hakuna hatua yoyote inayochukuliwa na upande wowote kana kwamba mambo yapo sawa.

Utaratibu huu mwisho wa siku anayeumia ni mwananchi kwani wale wote waliopuuzwa mwisho wa siku wanajilipa kwa kukaa kimya na kutokufanya maamuzi. Wanabaki kuwa mizigo kwa Serikali, kwani kodi zetu zinamlipia gharama kiongozi ambaye amesusa kuongoza. Yaani yupo yupo tu. Ni kwa namna hii ndiyo tunawataka viongozi waliopishana kauli hadharani kufanya maamuzi ya busara ya kuachia ngazi ili kuwapa wengine kijiti. Unajiskia raha gani kukaa madarakani ilihali ushauri wako unapuuzwa mara kwa mara tena hadharani, kwanini hili hatuigi utaratibu wa Jumuiya za Madola kama Bunge linavyotaka kuiga maslahi ya Jumuiya za Madola bila kujali uwezo wa nchi??WanaJF tupeane mawazo ya namna ya kuwafanya viongozi wetu kuwa na tabia ya uwajibikaji.
 
Ni kweli ila uso umeumbwa na haya, we huoni aibu kila unachofanya kinapuuzwa ila bado umo tu. Mimi nadhani ndo mana tunakaa hata miezi miwili hatujaskia Pinda anafanya nini hapa nchin, sa si bora apishe wengine tu kuliko kutucost bila sababu??Suala na Ma DK/Posho lilimpasa limfundishe kitu na afanye maamuzi, yeye anadhan kwa mambo yalivyo nani atamheshimu???

Ni kweli yeye mwenyewe hawezi kutamka hivyo, ila mimi nadhani sisi kama wananchi tungeandaa mechanism ambapo tukishabaini viongoz wamepishana kauli juu ya mada moja linalofuata liwe ni kushinikiza aliyechemsha kuachia ngazi mana tunajua kitachofuata ni kususia uongozi na atafanya hivyo kwa gharama za nchi. Pinda yupo redundant. Hafanyi shughuli zake kama mawaziri wakuu tuliokuwa nao huko nyuma.
 
ktk uPM wa pinda kafanikiwa kujianzishia mkoa wake katavi wenye wilaya 2 kama sumaye alivyoanzisha mkoa wa manyara
 
Kikwete ndio kigeugeu,Pinda hawezi kukurupuka Kuongea na Madaktar pasipo Rais mwenyewe kujua,mbona alibarik posho za wabunge harafu akaja akakana!? Rais hatuna kabisaaaa
Sa kama Pinda analijua hilo si aachie ngazi ili kulinda heshma yake???Mimi naliona tofauti.
 
Pinda yeye kwa sasa anachotanguliza ni tumbo lake tu,Uzalendo umemshinda
 
Back
Top Bottom