Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,918
- 122,182
- Thread starter
- #21
..Gazeti la Mwananchi limemnukuu JPM akisema hivi baada ya kushauriwa na Askofu Kakobe akutane na wapinzani.
" Huwezi kukutana na mtu anayekwambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umeache akae mwenyewe huko "
Huu ndio usikivu wa JPM anaposhauriwa