Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,588
Huu ni mwandiko wa 40+?
Mungu hakupi yote, wengine tungalipata muda wa kupoteza hivyo tungenenepa kama Le mutuzSi unajua watu wakikosa kazi ya kufanya
Azeeke mara ngapi mkuu,wanaogopa atafia kabisa hapoKama ni habari ya kweli unaeza kuta wanafanya hivyo lengo tu ni wewe upate kuondoka kwani wanaona mwishowe utazeekea hapo.
Ila una moyo wako. Miaka 42. Aiseee
Hii sio chai bali maji ya kunywa
Mtu mwenye umri huo hawezi kuandika hii takataka
Nakupongeza kwa kuipangilia vizuri stori yako..una kipaji cha kutunga na kuandika stori
Huu ni mwandiko wa 40+?
Si unajua watu wakikosa kazi ya kufanya
Inaonesha mtoa mada ni mtunzi mzuri wa simulizi za kusadikika!!
Na wewe siku peleka dem wako muwe mnacheza kama wao watakuheshimu😂😂😂, japo story inaonyesha ya kutunga
Ha ha ha ha ha
Hii ni stori ya uongo kabisa aiseeee
Mtu wa miaka 42 hawezi kulalamiia mambo ya hivi kutoka kwa mume wa dada yake.
Hizi ni stori za watoto wa miaka 17.
Madame umejisumbua bure aisee
Chai hiyo bwana we unaona inawezekana? Mtu wa miaka 42 ana familia anakaa kwa dada yake anafanya kazi ya kuosha vyombo?Kwa nn mama
Sista wangenambia tu ningeondoka. Mimi kulima sijui kwa kweli.nmetoka mkoani lakini ilikuwa mjini siyo kijijini.hata shamba sina. Nyumba nlijenga ndo wanaishi wazazi.
Familia yangu inaishi na wazazi wangu home huko mkoani.wao nliwafungulia biashara.nipo mjini natafuta kazi.
Chai hiyo bwana we unaona inawezekana? Mtu wa miaka 42 ana familia anakaa kwa dada yake anafanya kazi ya kuosha vyombo?