Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Jana Samia Suluhu ambaye nadhani ndie Rais wa Tanzania japo hakidhi vigezo vya kuwa Rais wa nchi yoyote ile alisema kuwa kwasasa dunia inakabiliwa na tatizo jipya la ugaidi. Yeye kwa maoni yake ugaidi ni tatizo jipya.
Kama kweli ameweka nia ya kupambana na magaidi ni kwanini watuhumiwa wa uamsho wameachiwa huru. walio hamasisha fujo hadharani na kusababisha mauji ya watu wasio na hatia, kujeruhi na upotevu wa mali za watu.
Kisha unamshikilia Mbowe ambaye kesi yake inatia ukakasi japo simtetei Mbowe sababu yeye sio malaika yawezekana kweli anahusika.
Uamsho aliwaachia kwasababu
1. Waislamu wenzake?
2. Wazanzibar wenzake?
3. Walionewa tu na kina JK?
Kwa walioyafanya hadharani mchana kweupe kisha wakachiwa huru kwanini sasa Mbowe awe gaidi?
Hawa wanaosema ni chuki za kisiasa na udini na Uzanzibar na Uzanzibar bara ndio ugaidi wa Mbowe wanaweza kuwa sahihi kutokana na vitendo vya Samia mwenyewe.
NB. Miaka ya hivi karibuni vikundi vya utishio wa kigaidi umekuja kwa kasi sana hapa nchini na hatujui hasa vinafadhiliwa nani ni uimara tu wa jeshi ndio umetuweka salama hadi sasa.
Kama kweli ameweka nia ya kupambana na magaidi ni kwanini watuhumiwa wa uamsho wameachiwa huru. walio hamasisha fujo hadharani na kusababisha mauji ya watu wasio na hatia, kujeruhi na upotevu wa mali za watu.
Kisha unamshikilia Mbowe ambaye kesi yake inatia ukakasi japo simtetei Mbowe sababu yeye sio malaika yawezekana kweli anahusika.
Uamsho aliwaachia kwasababu
1. Waislamu wenzake?
2. Wazanzibar wenzake?
3. Walionewa tu na kina JK?
Kwa walioyafanya hadharani mchana kweupe kisha wakachiwa huru kwanini sasa Mbowe awe gaidi?
Hawa wanaosema ni chuki za kisiasa na udini na Uzanzibar na Uzanzibar bara ndio ugaidi wa Mbowe wanaweza kuwa sahihi kutokana na vitendo vya Samia mwenyewe.
NB. Miaka ya hivi karibuni vikundi vya utishio wa kigaidi umekuja kwa kasi sana hapa nchini na hatujui hasa vinafadhiliwa nani ni uimara tu wa jeshi ndio umetuweka salama hadi sasa.