Vuta picha unatoka kwenye chumba cha guest ulikuwa unado na dem mwingine,kufika mlangoni unapigwa na butwaa mimacho inakutoka kidogo idondoke chini unapomcheki dem wako nae anatoka kudo na njemba nyingine,utakuwa mdogo kama punje ya unga wa ngano au utajinyonga na kamasi??????????