Kama ni wewe ungefanyaje

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,603
Mfano wewe ni Derevawa Bodaboda umepigiwa simu kumfuata mteja Gest na wewe ukaenda maana ndiyo kazi yako, sasa ile unafika tu! Unakuta Mteja ni Mkeo, akiwa na jamaa Mlangoni wanatoka ndani ya Guest wakiwa Wameshikana Mikono na Jamaa anakwambia Muwahishe Nyumbani kabla Mume wake hajarudi, Na wewe ndiye MUME
 
Namwahisha nyumbani chap

Sitamsemesha chochote japo moyoni itaniuma sana

Nitatafuta Kalam Na karatasi ntaiandika talaka

Kwa sababu siwezi kuanza kujua katembea nae au la

Kitendo cha kumkuta guest Na mwanaume mwengine n wazi hafai Na ameivunja ndoa yake kwa mikono yake

Namsaidia kumfungashia ikibidi Na nitampakia kwenye usafiri wangu kumsogeza karibu na usafiri wa kumpeleka kwao
 
Nngechukua changu chap chap, nimuwahishe ka atathubutu kupanda. Ila changu kibindoni kwanza. Akifika, atanipa stori ya alikotoka kwani nilimwacha home nkaende kusakanya za kumlisha

Nadhani ningefanya hivyo pia. Ila upande wangu wala nisingemuhoji chochote. Nampa adhabu ya kufikiria nafikiria nini, wakati nafikiria kujitoa.
 
Namwahisha nyumbani chap

Sitamsemesha chochote japo moyoni itaniuma sana

Nitatafuta Kalam Na karatasi ntaiandika talaka

Kwa sababu siwezi kuanza kujua katembea nae au la

Kitendo cha kumkuta guest Na mwanaume mwengine n wazi hafai Na ameivunja ndoa yake kwa mikono yake

Namsaidia kumfungashia ikibidi Na nitampakia kwenye usafiri wangu kumsogeza karibu na usafiri wa kumpeleka kwao

Hmm!
 
namwambia wife aende nyumbani...nakodi chumba alaf nam'bandua jamaa....alafu napitia hardware nanunua panga nikifika geto wife simwambii chochote....asubuh na mapema naanza kunoa panga....mchana tena nanoa panga langu....jioni tena nanoa panga alafu wife simkasirikii....kesho tena nanoa panga asubuhi,mchana na jioni....wife akiona tu nnavonoa panga lazima afe kwa hofu....
 
Mpakie, kama kwao si mbali mpeleke, rudia mizigo yake nyumbani, mpelekee.

Kama kwao mbali, kamshushe stendi kuu, rudia mizigo yake nyumbani, mpelekee.

Maisha lazima yaendelee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom