Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,336
Kama una uhakika hao mapacha ni wanao,nakushauri tafuta msaada wa kisheria,ili taratibu zote za upimaji wa DNA ifanyike,hapo ndo utapata majibu sahihi,
Kama majibu yatakuwa upande wako chukua wanao,
Kama si wako achana nao.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kama majibu yatakuwa upande wako chukua wanao,
Kama si wako achana nao.
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app